Search results

  1. A

    Lissu na mahubiri ya Haki, Uhuru na Usawa

    Anachohubiri ni ulaghai wa kiwango cha PHD kwa sababu hata kwenye chama chake hiyo haki,usawa na uhuru havipo. Chama chake kianze kutekeleza hiyo slogan kwa vitendo.
  2. A

    Fahamu jinsi magonjwa yanavyotengenezwa maabara na kuua watu (bioterrorism)

    Kwa Afrika na waafrica, silaha hii ni maarufu sana japokuwa imekuwa ikitumika kati ya mtu na mtu au kaya na kaya. Magonjwa kama ukoma na mengineyo yaliaminika kutumika kama adhabu kwa wahalifu wa makosa mbalimbali katika jamii. Ukitaka kujua madhara na athari ya silaha ya magonjwa, angalia...
  3. A

    Je, Msajili Hazina anaihujumu CCM?

    Ahadi zipi mkuu na kivipi?
  4. A

    Je, Msajili Hazina anaihujumu CCM?

    Mkanganyiko wa Msajili umepelekea Naibu Katibu Mkuu Utumishi kutoa maelekezo ya kuwataka waajiri kuwaandikia barua watumishi hao kurejea kazini haraka iwezekanavyo. Huu ni ushahidi tosha kuwa kuna tatizo katika ofisi ya Msajili wa Hazina. NB: Mada hii haina mvuto kwa wapenda matusi aka...
  5. A

    Je, Msajili Hazina anaihujumu CCM?

    Hebu fafanua ili tupate elimu pamoja na watia nia. Ni sheria ipi iliyofuatwa na Msajili au kuvunjwa na Watia nia?
  6. A

    Je, Msajili Hazina anaihujumu CCM?

    Kama tunavyojua, mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu na katika mchakato huo, Watanzania wote huwa na haki sawa ya kushiriki katika uchaguzi huo kwa kuchagua au kuomba kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali zinazogombewa. Katika Uchaguzi wa mwaka huu, kumetokea kuvunjwa kwa rekodi ya kujitokeza...
  7. A

    Uchaguzi 2020 Sitampa kura yangu Dkt. Magufuli kwa sababu hii 'kubwa'

    Unafiki haujauanza leo. Kwendraaa. Sisi tutampa kura zote
  8. A

    Irene Kisaka harakisha mpeleke Esther Bulaya mahakamani kwa kukudhalilisha!

    Unaweza kukuta ni haohao. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. A

    IKULU NI MZIGO : Kwanini Baba wa Taifa Mwl Nyerere alitamka maneno haya ?

    Uko kazini masaa 24 kwa siku Siku 7 kwa wiki na Siku 365 Kwa mwaka. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. A

    IKULU NI MZIGO : Kwanini Baba wa Taifa Mwl Nyerere alitamka maneno haya ?

    Ngoja waje wajuvi wa mambo. Ila ninachokijua ni kuwa, Ikulu ndio sehemu ya mwisho yenye kubeba mustakabali mzima wa nchi. Siyo pa spoti spoti. Ukiwa pale, hulali, huli wala kunywa vizuri tofauti na sehemu nyingine ambako level ya responsibility inakuwa tofauti. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. A

    Kama kikokotoo kipya ni matokeo ya actuarial valuation ya mifuko, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi atumbuliwe? Tusishangilie tuu...mwishowe...

    Na worse enough aligeuka kuwa competitor wa Mifuko badala ya kuwa regulator. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. A

    Kama kikokotoo kipya ni matokeo ya actuarial valuation ya mifuko, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi atumbuliwe? Tusishangilie tuu...mwishowe...

    Huo Mfuko mpya haujafanyiwa actuarial evaluation kwa sababu hata merging haijakamilika. Merging inakamilika February 2019 ambapo handing over itakuwa complete na endapo itaonekana kuwa muda hautoshi, Waziri mwenye dhamana anaweza kuongeza muda wa makabidhiano. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. A

    Magazeti yetu yamekuwa hovyo

    Kosa sio la Wahariri, bali ni LA kwako kwa kuchagua magazeti ya makanjanja. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. A

    Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Moshi pamoja na Kilimanjaro kwa ujumla wake naifahamu kuliko hata waliozaliwa huko ukiwemo wewe. Nina alama ya kudumu niliyoacha Moshi pamoja na Kilimanjaro kwa ujumla wake. We nenda ukafungue page ya Mambe Kimambi uone leo amewaagiza kufanya nini. Mimi sio size yako.
  15. A

    Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Kwa Moshi bado sana kuwa Jiji kwa sababu za Kihistoria, Kiuchumi, Kijamii na Kisiasa. Kihistoria, Mji wa Moshi haukujengwa na wenyeji. Kwa hiyo Wachaga hawana sense of responsibility and ownership na Mji wa Moshi. Kiuchumi, Mji wa Moshi na Kilimanjaro kwa ujumla wake hauna rasilimali wala...
  16. A

    Ansbert Ngurumo: Taifa linaelekea pabaya sana

    Sesimba Aina tu ya uandishi, ni ushahidi tosha kuwa hii habari ni ya uzushi wa Kichadema.
  17. A

    Kwa mara ya kwanza bei ya mahindi iko chini kuliko kipindi cha mavuno, ni kilio kwa wakulima na wafanyabiashara

    Achana naye huyo. Hajui kuwa one of the reason ya umasikini ni pamoja na food insecurity.
Back
Top Bottom