Nafikiri yupo kwenye usajili wa watu ambao watamsaidia kwenye uchaguzi ujao maana hawa waliomsaidia 2015 wamekengeuka.Huku ndiyo kuchanganyikiwa kwenyewe unamrudishaje mtu kwenye baraza wakati tuhuma zake ulizitoa mwenyewe?tena za uhujumu uchumi?
Hivi kuna mwanasiasa mwenye haiba ya mwigulu ña Nchimbi anayeweza kukubali kuwa amefanya madudu haya hadharani?hata Kama ni kweli?mangapi yanaushahidi ña wanayagomea sembuse hili?anyway tumekusikia
Lemutuz bana hahhaaaa eti na wewe kimekuuma,mwenzio amepewa siku 14 ajieleze, wewe unamshauri ajieleze kabla hata masaa 24 hayajapita tena jamiiforum,tweeter na fb?unafikiri chadema wanamasihara tena naye?hata Zito mwenyewe anajua hapa hakuna masihara tena.kama CCM wangekuwa serious hata kwa...
kwa suala la police hilo halina mjadala kwa sababu siyo mara yao ya kwanza kuhujumu mikusanyiko ya chadema si tu isiyo halali hata ile ambayo ni halali.kwa madaktari inawezekana ni taharuki tu akili zao hazikujiandaa kupokea tukio kama lile kwa muda ule.siyo rahisi jambo kubwa kama hili likawa...
mbona wamegonga pabaya?watapatikana tu watajulikana tu kwakifupi hapo ndo wameharibu kabisaaaaa.watatajwa si tu kwa majina yao hata kwa historia zao.haraka za nini?itajulikana tu subirini
Mh Naibu katibu mkuu wa ccm (bara)ulicho kiandika na kuwaasa watanzania wenzako kwenye post yako ni sahihi kabisaaaaa na niukweli mtupu,lakini unatupa shida kuuamini na kuchukua kwasababu wewe mwenyewe si mfuasi wa hicho unachokisema.kwa mtazamo huo sisi tunao amini unajutia nafsi yako na...
watu wengine nadhani wanazeeka vibaya,mara Zanzibar iwe huru sijui nani kawaambia inatawaliwa?,iwe na mamlaka yake kamili,okey hatukatai sasa kama hiyo ndo sera yake huku Tanganyika anatafuta nini?huyu maalim Seif haeleweki njaa zinamsumbua.aache kuwasumbua wazanzibar bure wakati anacho wapikia...
Tuongeeeee tunayoweza kuongea,tubishane,tuelimishane,tuteteee,lakini ukweli ni kwamba prof amechemka.inawezekana kabisa wapo wanaochemka kama yeye wa imani nyingine lakini hakuwezi kumnusuru Prof lipumba na kuchemka kwake.kiukwelii pamoja na kwamba alikuwa anaongea na watu wa imani yake,ni haki...
Mimi leo usiku nimeota Adulrahamani Kinana ambaye ni katibu mkuu au mtendaji mkuu wa ccm anakwapua pembe za ndovu akitumia kampuni yake. Sasa sijui kama Msigwa naye alimaanisha Kinana au La. Ni ndoto tu lakini.
Aweda zipo ndoto za ukweli ila kuthibitisha cha ndotoni ndiyo kazi sasa
hawa jamaa wameamua kutupotezea muda kwa malengo yaoyasiyokuwa na tija kwa taifa,chakushangaza ndiyo chama kilichopo madarakani.ila makamanda kazeni buti hii ni ishara kuwa ukombozi umekaribia
bado narudia kuwa hili gemu si lakitoto waliocheza ni watu wazima wanaojua la kufanya wapi,wakati gani na kwa nani Zitto wakati anajibu tuhuma za barua yake kuvuja mtandaoni alisema wazi kuwa msimamo wa chama ndiyo msimamo wake na alikubali wazi kuwa baada ya kikao cha kamati kuu ameungana na...
hili gemu si la kitoto linachezwa na watu waliokomaa na wanaojua nini wanafanya na kwa maslahi ya nani.Mungu awalinde chadema kwasababu kazi mnayo pekeyenu,wala taaluma zenu haviwezi pekee kuwavusha kwenye hizi zengwe.
hahaaaaaa sikuhizi hakuna wakukemea tena maana aliyekuwa anakemea sikuhizi na yeye ni wakukemewa kwahiyo imekula kwetu labda kama tutafanya mabadiliko2015 tupate watu wengine wacha Mungu na wenye huruma na kodi za walalahoi.pole mleta mada kwa kunusurika ila siku nyingine uwe mwangalifu zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.