Hakika wewe pia ni miongoni mwa watu ambao ufikiriaji wako ni mdogo sana, na nina kushauli usije tena kuleta hoja za kijinga kama hizi. Upuuzi wako kama huu hukohuko sio humu.
Kama kazi zote za nyumba ameachiwa binti wa kazi, unadhani kinachofuata ni nini? wakina mama acheni uvivu, hayo mambo yanatokea kwa sababu ya uvivu wenu wa mama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.