Hizo Euros 1,272,904 ni kwa ajili ya viti,carpet, na vifaa vya sauti tu. Gharama kamili ni Tsh 4.5 billion. Huwezi kuamini hadi leo kuna viongozi wanafanya vitu kama vile nchi imeshakuwa Somalia. Inawezekaneje mtu mmoja kujiamulia kutumia fedha ya Umma bila kufuata taratibu?
Taarifa za...
Nilivyopata habari hii nilidhani ni udaku lakini baada ya kutemebelea Arusha hivi majuzi kwa lengo la kubook mktano kwenya ukumbi wa Simba Uliokarabatiwa nilishangaa na kuamini ni kweli. Nimepata data kidogo tu za kuanzia .
Katika kukarabati ukumbi wa AICC kwa ajili ya Sulivan , kiongozi wa...
Bora hao mpresida wajue kwamba tunatafuta mishahara yao bado. Hata hivyo najua ni kuubwaa saanaaaaaaaaaa.
Sujui kwa nini wafanye tena business hujo ikulu na kujichotea mathusand of million dollars
" A peacock who sits on his tail is just another turkey"
Tatizo ni sisi wenyewe pia. Tunakubali kila uchafu. Hamna kupinga . Wenzetu wanagomea bei na wanafaulu. Tunauwezo wa kugomea ongezeko la bei .Mfano tukiamua kuzima simu zetu zote kwa siku mbili tu wataimba wimbo waupendao. We have...
Na hao COSOTA jamani nisaidieni hapa. Mbona wanatuma invoice kwenye mabaa, hotel, clubs , groceries n.k yaani sehemu za starehe wakidai ni mirahaba ya kuangalia TV na kusikiliza muziki.
Criteria gani wanatumia kucharge hiyo mirahaba? Maana unaletwa tu invoice ya 350,000.00 amabayo haina...
Huo ni ukweli. Sio kwa sababu wako Wachaga wengi kwenye hiyo ofisi bali Wachaga wanajua rohoni mwao kuwa hawapendwi simply kwa sababu ni Wachaga.
Wengi wameacha majina halisi ya ukoo ili kuwafix wasiojua.
Ajabu ni kuwa nilikutana na Mhindi mmoja Director wa Kampuni kubwa, ya magari...
Kudhani hivyo ni upungufu unaobebwa na imani kali. Kwa nini wasingejiandaa kabla. Hawaoni hata wenzao waislam wanajiandaa japo hukesha uwanja wa ndege? hebu warudishe ujinga huko walikotoka ebo.
mmh.
Hili ni kweli. Ni puuzi moja la kichaga. Alimwiingiza Kaaya wa AICC kwenye cheo kwa rushwa. Tuanaendelea kummulika Kaaya .Tunajua ufisadi aliofanya lakini tusubiri kwanza data .
''Anger is a condition in which the tongue works faster than the mind''
Huyu Mbunge alikuwa na hasira kweli. Hata hivyo hajajiuliza anayepanga na kupitisha policy za hiyo Tanroads ni nani. Mishahara na maslahi ya shirika kama Tanroads sio specific kwa mtu bali kwa nafasi.Mrema alikuta haya...
Kwa hiyo mwandishi anataka sisi tubuni ni nani? Hii sio habari maana haijakamilika. If you can,t disclose him you are like him. 'The witness of a rat is another rat'
Welcome great man. They say 'It takes both sunshine and rain to make a rainbow'
Lets all fight for the nation.Mkubwa ,mdogo, excluding mafisadi wote. They have no right to torture us like this.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.