Tajiri mkubwa duniani alikuwa katika mazungumzo ya kuzungumza kuhusu mpango wa kupunguza idadi ya waafrika. Maana kuna matatizo ya idadi ya waafrika wanaoamia nchi za Ulaya kwa ajili ya kupata makazi na ubora wa maisha, kwa iyo watakuja na mpango unaoitwa New world order, ili kuinusuru ulaya na...
Katika movie ya Black Panther Lupita Nyongo ameliwakilisha vizuri taifa lake la TANZANIA
Nawashukulu watanzania wote kwa kuwakilishwa vizuri na mtanzania mwenzenu LUPITA NYONGO
Habari za siku ya leo, kwanza poleni kwa mapumziko ya weekend,
Naomba tujadili vitendo vya wizi maeneo makubwa ya kibiashara kama apa Mlimani City na maeneo ya Magomeni NMB bank.
Kumekuwepo na vitendo vya ukiingia bank za hapo Mlimani city kunakuwa na watu wanakufatilia mpaka utakapotoka na...
Naomba serikali ijaribu kutusaidia kuwaondoa vishoka na matapeli wote waliopo katika office za TRA, wamejaa sana kiasi kwamba ukifika pale kidogo ukiulizia office yoyote pale mapokezi anatokea mtu anajifanya kama anataka kukusaidia, sasa apo atakupa michanganuo ya kukupiga pesa
Hivi ni kweli...
Naomba serikali ijalibu kutusaidia kuwaondoa vishoka na matapeli wote waliopo waliopo katika office za TRA, wamejaa sana kiasi kwamba ukifika pale kidogo ukiulizia office yoyote pale mapokezi anatokea mtu anajifanya kama anataka kukusaidia, sasa apo atakupa michanganuo ya kukupiga pesa ivi ni...
Habari za shughuli, kinywaji hiki kinauza sana hapa Tanzania. Lakini mbona katika Soko la hisa hakionekaniki kama wanafanya biashara yenye faida au ndio tabia yetu kufanya biashara bila rekodi au wanafanya hivyo kukwepa kodi. Maana ukipita kila kona kumejaa viroba.
Biashara hiyo ipo kila kona...
Habari za shughuli ndugu zanguni Wana JamiiForums,
Naulizia haya magari ya mwendo kasi naona yamebandikwa matangazo ya biashara, muhusika wa makusanyo hayo ya Mapato ni nani?
Tujulishane wadau wengine atujajua hapo
Salama Wana Jamii forum. Na poleni na msiba wa Papa wemba.
Jamani mwenye kujua vibao vizuri vya muziki wa Zaire{Democratic Republic of Congo} na habari za wasanii kama wakina Yondo Sister na wengineo tupeane mastori yao
Salama Wana Jamii forum habari za shughuli. Naomba kupewa mchanganuo upi una faida kuweka pesa ktk fixed deposits account au kununua shares ktk makampuni kama Tanzania Cigarette company ipi inafaida nawasilisha maana ktk benki Kuna changamoto zake nataka kujua apo
Nawasilisha, nategemea...
Msaada :: Kwanza habari za shughuli ndugu zanguni nataka kusaidiwa izi gari zimekuwa na matatizo mengi ikiwepo ya kuungua Pump. Yaani zinaungua sana ktk Pump
Habari za shughuli ndugu mabibi na mabwana. Nataka nieleweshe nini faida na hasara ya kufungua account za pesa za kigeni, ili kulinda pesa yangu kushuka thamani nataka kujua kodi, kiwango cha kuanzia, kibali cha kufungua na mambo mengine yanayohitajika
JE UNAFAHAMU KUWA TANESCO IMEPUNGUZA BEI YA UMEME NA KUONDOA TOZO YA KUTOA HUDUMA (SERVICE CHARGE) KWA WATEJA WA T1 KAMA ILIVYOONYWESHWA KWENYE JENDWALI HAPO CHINI KUANZIA TAREHE 1/4/2016. UMEJIPANGAJE KUTUMIA FURSA HII KUKUZA UCHUMI WAKO BINAFSI NA WA TAIFA?
Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi.
Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje?
Msaada please
UNAMAONI GANI JUU YA KUKAMATWA KWA SHEHENA YA MAFUTA PAMOJA NA SUKUARI?
TOA MAONI JINA NA MAHALI:
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imekamata shehena ya Sukari na Mafuta yenye thamani zaidi ya shilingi milioni mia nne ambazo zinaingianchini kutoka mataifa ya India na Brazil bila kulipa ushuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.