Cha kusikitisha ni kuwa ameunganisha saafairi katika nchi nne kwa kipindi cha wiki mbili bila kutulia nyumbani licha ya matatizo kibao tuliyonayo. tarehe 10-13 alikuwa nchini Afrika ya Kusini na alirudi nyumbani na kuunganisha kwenda Uswizi. alitoka uswizi akaruka Tanzania akaenda shelisheli na...
Hatari ya vurugu inatoka kwa watawala, Slaa asiwape kisingizio
Jenerali Ulimwengu Juni 8, 2011
KATIKA kipindi hiki tunapoikazania Serikali ya Rais Jakaya Kikwete isifanye mchezo na suala la Katiba, tunalo jukumu la kutuliza akili zetu na kupima kwa kina kila tunachokisema na kukiandika...
Ukijua gharama za safari utazimia. Kuna jamaa yangu anafanya protocol department pale mambo ya nje aliwahi kuniambia kuwa kuna wakati muungwana alitumia zaidi ya sh. Billioni mbili katika safari moja ya us. Upo hao?
KUSEMA KWELI TUNA BUNGE KILAZA. SIJUI BUNGE LILIKUBALI VIPI KUPITISHA BILL.53 WAKATI MHE. RAIS KATIKA HOTUBA YAKE KWA TAIFA YA MWEZI OKTOBA 2008 ALISEMA ZILIKUWA ZIMEKUSANYA BILL. 69 NA USHEE. HIVI NDIVYO ALIVYOSEMA "Nilielezea pia kwamba baada ya tarehe 31 Oktoba, 2008, kwa wale ambao watakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.