Tahadhari: Mawazo haya yanatikana na Imani yangubkubwa katika:
1. Biashara shindani, Yaani bila ushindani, biashara lazima itadorora.
2. Jamii imegawanyika kwenye matabaka mbalimbali, mfano wafanyabiashara, wafanyakazi, n.k.
Nikimaanisha mfanyakazi hataweza kurndesha biashara na kinyume chake...
Habari Wataalamu,
Naomba contacts za kiwanda cha kutengeneza paving grids, Hizi ni badala ya pavements na zinafaa Sana sehemu yenye majimaji au udongo unaokaa na maji,
Zitasaidia kuondoa usumbufu kwa sehemu ninapokaa, mwenye contacts anisaidie,
Nikiziangalia ni rahisi kutengenezeka, lakini...
Salam kwa wana JF!
Nimepata ugeni wa dharura, na nishazoea kuchoma mbuzi kwa ugeni wa namna hii, sasa soko langu la kikatiti ni mpaka jumanne,
Naomba msaa wa anayejua soko/mnada mwigine (hapa Arusha mjini) kwa jumamosi au jumapili, ntashukuru kwa maelekezo husika
Thanks in advance
Hello wadau,
Nahitaji fundi wa mashimo ya choo kwa sehem zenye maji maji sana. Nadhani wanayaita biodegester.
Kama kuna fundi yupo Arusha naomba anipm. Itapendeza akintumia sample picha ya kazi alizowaho fanya (Ikiwa zaidi ya moja itapendeza).
Thanks
Mimi kama mfanyakazi wa serikali naliandika hili nikiwa na huzuni kubwa. Hii ni kwa sababu posho za vikao na per diem zimekuwa sehem kuubwa sana za mapato yangu.
Lakini recently, nineanza kufanya kazi na wenzetu wazungu na naona utaratibu wao wa kulipana ni mzuri zaidi wa hui wa kwetu. Ni bora...
Aisee, sikuwa najua umuhim wa kuoga baada ya kupiga gemu, leo ninepanda gari na maza ananuka ndom mwanzo mwiso, sijui ni sababu ya jua kali au yule maza alizidisha kipimo, ila almost abiria woote walifungua madirisha baada ya mama wa watu kuingia kwenye gari, japo gari ilikuwa na aisii ila watu...
Wakuu msaada tutani,
Namba maelekezo ya jinsi ya kulipia trafick fines, maana wamenikamata na zile karatasi yao sinayo kwa ss, na leo ndo inaturn kwenye interest yao.
Shukran za dhati zinatangulizwa.
UPDATE
-----------
Problem solved
Salama wana GT
Kuna jamaa anataka kununua family car, na baada ya search ya muda mreefu amepata Honda Crossroad ila hana uhakika na upatikanaji wa spare parts, so anaomba ushauri kwenye spare parts za hiyo gari.
Kama title inavosomeka,
Architecture aloyeko Arusha, anayeweza kunchorea raman ya residential house anahotajika. PM for contacts
Updates
Post imefungwa, ashapatikana tayar
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin...
Katika Africa, Tanzania ndo nchi pekee iliyokuwa listed hapa! Big up saana JWTZ
source: Most Dangerous Special Forces Of The World. See How Your Countrys' Army Looks Today
Naamini almighty amewapa afya, na wale wauguao mungu awaponye!
Niende kwenye shida yangu straight, Ni week ss sijakutana namwanamke ila kuna mabadiliko yanantisha kidogo hasa niendapo haja ndogo.
Ni siku 3 zimepita tangu nikojoe damu, damu ilitoka mwishoni kbs wakati wa kukojoa na ilikuwa...
Niende kwenye mada straight
Kunna mkuu mpya wa upelelezi amepamgiwa katika wilaya yetu(jina kapuni kwa ss)
Kwa sasa n kamatakamata kila leo hasa kwa wauza mirungi bangi na madawa ya kulevya(kwa uchache)
Katika kamatakamata hiyo wanaingiaga wahusika sahihi na wengine wanabambikiziwa, shida...
Heshima zenu wakuu
Nina jamaa yangu siyo member wa JF anahiyo shida,
mtoto wake alianzaga kuongea alivofikisha mwaka na nusu then akaugua kifua akaacha kabisa kuongea,
Mpaka sasa anamiaka mitatu anaongea neno mojamoja sana, anauwezo wa kuiga maneno watu wakiongea lakini kuyarudia mwenyewe...
SERIKALI YA CHINA INAKARIBISHA MAOMBI KUTOKA KWA WAAJIRIWA KWENYE SKETA YA MAFUTA & GESI ASILIA.
Seminar on the Utilization and Development of Petroleum and Gas for Tanzania 2016 will be held from 30th May to 19th June in China. We are inviting 28 candidates. All participation costs will be...
Naamini hapa ntapata wataalam wazuri wa magari,
Nahitaji gari kwa ajili ya tax na kuwapeleka watoto shule, angalau nipunguze gharama ya school bus kidogo
Katika pita pita beforward na tradecarview nimeiona hii Toyota Belta, Hasa hii ya 1300cc naamini itakuwa na engine yenye nguvu zaidi na...
Salama waungwana,
Kama kichwa cha habari kisemavyo, kuna kazi ya kuchimba kisima, kwa yeyote mwenye kufanya kazi tajwa tafadhali ani-PM kwa mawasiliano zaidi.
NAtumai mu wazima na Mungu amewabiriki afya na amani katika mwaka 2016!
Leo tarehe 1/1/2016 Makatibu wakuu wameapa viapo vya utendaji kazi wao, ila nikisikiliza viapo vyao sehemu ya tatu ambayo wanatakiwa kutunza siri za serikali na baraza la maraisi nimeona wakisema wanaweza kutoa siri hizo...
Uchaguzi ushakwisha, ila kila nikiangalia mitandao sion namna ya UKAWA wanavojipanga, Pamoja na mengi yaliyotokea katika uchaguzi huu, ila seems wananchi na nchi inasonga mbele. na ukizangatia kuna majimbo na sera nyingi zilizotumika kuuufikisha upinzani hapa ulipo bado wana kazi kubwa zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.