Katika wilaya zilizonyuma kimaendeleo nchini ni pamoja kondoa.huyu mama ni useless tatizo ni la warangi wa kuendekeza ukabila na udini...even Nkamia hana anachokifanya.2015 inakuja nadhani mabadiliko yanatakiwa wa mkoa mzima wa Dodoma
PT moja ilinigonga nikala nao sahani moja wakanilipa!may be ulikuwa na makosa...ungemkomalia aliekugonga.fuatilia hilo gari kituo linapopaki report hapohapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.