kweli kabisa kaka jidu(kama sijakosea) cha msingi ni kuwa na msimamo, haina maana kuwa kiingereza tukiache la hasha!! tujifunze kama lugha ya pili lakini si ifanye tupuuze lugha yetu!!! mfano tanzania ni nchi tajiri sana kwa madini,na mali asili nyigine, madini kama tanzanite huwezi yapata...
maelezo ya juu ni sahihi ila ya mwisho si sahihi, kwani umejidunisha mtoto wa mbwa hawezi kuandika wala kutoa hoja!!! Wewe si mtoto wa mbwa!!!! Je ni sahihi?
Duuuuuuuuu!!!!!!!!!! NIMESIKITIKA SANA KUSIKIA ETI KISWAHILI LUGHA YENYE THAMANI KUBWA, LUGHA AMBAYO ILITUMIWA NA BAADHI YA WAASISI KAMA MWL. JK NYERERE KUTUUNGANISHA NA KUWA HAPA TULIPO LEO ETI HAIJITOSHELEZI!!!! HUU NI UTATA WA KUTUPOTOSHA KAA CHINI NA UFIKIRI MCHANGO WA KISWAHILI!!!!! LUGHA...
yapo maneno mazuri ya kiswahili kama vile RONGOYA TABORA, RONGOYA MAWINGU n.k inapendeza sana tujivunie lugha yetu wadau, hata waingereza walitumia nguvu sana kuisambaza lugha yao ya kiingereza mfano walipo ingia afrika ya kusini walilazimisha wazawa kuizungumza lugha hiyo ya kiingereza.hivyo...
safi huo ni mtazamo wako mzuri sana, lakini tambua kuwa hiyo ni methali na methali huwa na lugha ficho iliyobeba hekima ndani yake katika lugha ya kiswahili kuna maana mbali mbali kwa baadhi ya maneno au sentensi kuna maana ya msingi na ile ambayo mzungumzaji huibaini, maana halisi ya aliyejuu...
nafasi ya misimu katka kiswahili sanifu
a. kuongeza msamiati
b. kuficha siri mf. kwa wazungumzaji wawili
c.hutambulsha kundi la watu kijiografia
viambishi
a. kuonesha nafsi mbali mbali
b. kuonesha umoja na wingi
c. kuonesha ngeli katika sentensi...
kukwepeka inawezekana tena vizuri sana, cha msingi ni serikali yetu kuwa komavu hasa katika kipengele cha kutoa maamuzi, najua inashindikana kwa sababu jamii yetu bado changa, tunaishi kwa misaada mingi toka nje hivyo tu kama television na remoti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.