ILANI YA CCM 2015-2020
Kupunguza gharama za kuunganisha umeme vijijini kutoka TSH 454,000 mpaka TSH 27,000
ILANI YA CCM 2020-2025
63(h) kuongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme na wa gharama nafuu.
Serikali ya CCM imetekeleza ilani yake kwa %ngapi? Jana nimeona mojawapo ya mitambo ya gesi asilia...
Hizo ni dalili za waarabu wa Zanzibar wanataka kuchukua ngorongoro halafu waje wavunje muungano ili ngorongoro iwe Mali ya Zanzibar. Tusikubali hilo. Ngorongoro ni Mali ya watanzania lakini watanzania wa kaskazini tusikubali huu ni uvamizi. Kama wamasai wanaondolewa pabaki bila kuweka watu wengine
Kwanini hao wanaharakati wao wasipigwe hizo risasi wakapigwe wamasai wasiojua hata bunduki ni nini? Serikali iache kujitetea na hoja dhaifu ya wanaharakati. Ingesema Kuna kikosi Cha magaidi kinapambana nacho sawa. Lakini kupiga watu wasio na silaha risasi ni ujinga mkubwa. Hebu serikali iwe na...
Watu wanaomwonea huruma Sabaya mbona wasionee huruma matendo yake mabaya dhidi ya watu? R. Kelly na umaarufu wake anateseka huko majuu na maovu yake aliyofanyia watu Wala hakuna wa kumwonea huruma. Hivi maovu ya R. Kelly na ya Sabaya yepi mabaya zaidi? Tuwache unaaa
Poleni. Viongozi wetu siyo wazalendo. Pm na ukoo wake pengine hawajui hata bei ya gesi Wala nishati yoyote kwa maana wanazitumia at zero cost. Hawawezi kuona uchungu na maisha ya binadamu wengine kabisa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, amewataka wananchi kupunguza matumizi ya kuni na mkaa na kutumia nishati mbadala.
Swali langu ni nishati mbadala kwa mwananchi wa kipato Cha chini ni ipi?
Hawa wapiga jaramba wa mama Samia, sijui waupiga mwingi, hawatatoboa. Wengine ni wababe kupita maelezo. Watamharibia mama Samia. Huku chuga Kuna Katibu wa CCM Wilaya, anakatili viongozi wa chama wanawake (tuite ukatili wa kisasa). Kufokea, kutukana, siyo desturi njema kwenye siasa hasa kama ni...
Kumekuwa na ripoti mbalimbali juu ya watoto wadogo kulawitiwa na walimu wao, lakini pia Kuna vitendo vya baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi kulawitiana wenyewe kwa wenyewe. Hii ni hatari sana kwa Taifa letu. Labda tuwaulize walimu wao kwanini wameshindwa kudhibiti tatizo hili ambalo kwa...
Magufuli hajasafiri nje ya Africa na wala hakupandisha ghalama za maisha lakini................[emoji116][emoji116][emoji116]
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.