Nafikiri ndioto yako ni ndoto ya kila mtanzania mwenye maoenzi mema na nchi yake. Tatizo la tanzania yetu hasa wachumi wetu wanataka kumchicha the goose that is laying the golden egg. Wakifikiri kwamba wataweza kupata mayayi mengi ya dhahabu kwa wakati mmoja. Ukiangalia mapambano ya nchi hizo...
"If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside."
Julius Kambarage Nyerere, from his Stability and Change in Africa speech given to the University of...
Naangalia hapa anaitwa Lotus! Au jina lake lingeine ni Bhoke? Well labda wapo wawili toka TZ maana kuna nchi mbili sasa wameingiza watu wawili Botwana na Uganda! will keep posting :A S 39:
My take ni kwamba walikuwa wanatueleza jinsi uchakachawaji ulivyoleta taabu kwenye systeem, kuifanya iwe down. Nahisi hawakuwa wamelijua hilo. Majibu ya kwamba tanzania ni nchi kubwa kwangu halina maana, kwasababu ni jambo linalojulikan na walitakiwa wawe wameplan for it. Sikuona jibu lolote la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.