Mkuu Malafyale,
Swali zuri; mimi nadhani hakuna sheria yoyote iliyobadilishwa kuhusu uteuzi wa wakurugenzi wakuu wa mashirika ya umma. Nadhani kinachofanyika sasa ni kupanua wigo na kuwapa nafasi watu wote wenye sifa kuomba kazi, na at the end of the day Rais atapelekewa short list ya majina...
Naweza ku-speculate kwamba hilo kosa siyo la kwanza, na inawezekana alishamuonya huko nyuma ...... hivyo leo akaona amfukuze kazi! .... Barama hana mambo ya kuoneana aibu au haya ... ukiharibu unaondoka!
Mkuu Nyumbu,
Mimi siko upande wowote lakini ninaamini hayo maswali yako yatajibiwa vizuri tu na hawa "wapiganaji" watakapokuwa wanajinadi mbele ya wapiga kura wa Kyela .... hapo ndipo itajulikana Mwakyembe aliahidi nini na amefanya nini; na vivyo wana-Kyela watapata fursa ya kumsikiliza...
Mkuu FMES,
Shukurani sana! Umeiweka sawa sana hii, na hasa ile kwamba kama George ataamua kuogembea watakaofaidi ni wananchi wa Kyela .... na CCM. Vipi na wewe uko likizo TZ au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.