plz kabla ya kuandika chochote fikiri kwanza mm na masters pia ni mwalimu mitihani waliyofanya f4 ni saizi yao hakuna kilichotolewa nje ya mada zao.....kwa ujumla wanafunzi wengi wao ni wazembe hawapendi kujisomea.
Uigizaji wao upo kwenye inshu mbali mbali mfano mtu tayari umemweleza yote kama kuishi nae lakini utakuta/nashindwa kuelewa kwamba hajiamini au ndo anajaribisha ili aone kama upo siriaz mara akutafutie rafiki yake wa kike akutege,akuzushi vitu vya ajabu ajabu ilimradi tu ukasirike so sijiu ndo nini?
Ni kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta wa kuishi nae, ila kila ninaye kutana nae na kuongea nae, mimi kwa upande wangu naona kama wanakuwa wanaigiza, sasa sijui nitamtambuaje anaye kuwa wangu wa kudumu...wadau mniambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.