Kweli kabisa, Mtikila pekee ndiye namwona mwana mapinduzi wa kweli na mpinzani halisi. Ila ukweli ni kwamba hawa wengine ni wasaka tonge tu kazi yao ni ''TOKENI MMEKAA SIKU NYINGI NA SISI TUNATAKA KULA'' Hawana uchungu wowote na nchi hii.
Wewe Gwajima siyo mchungaji hata siku moja. Unachezea Mungu halafu unatenda dhambi chafu kiasi hicho !!! Usiwaone wanapayuka kwa makelele mengi ukadhani wahahubiri injili, hakuna kitu kama hicho, hawa wote ni WASAKA TONGE tu wanafanya biashara inaitwa PULPIT ENTERPRENEUSHIP. Gwajima subiri...
Sasa amekubaliana na kauli ya Nape Nnauye aliyoitoa hivi karibuni kuwa mbona yeye (Mbowe) anatumia gari la bei mbaya. CDM punguzeni misafara inayojumuisha wabunge wenu wote mkizunguka mikoani, hapo tutawaelewa.
Alaaaaa !!!!!!!!!!!!!!! Sasa umenifumbua masikio, Kumbe kelele zote hizi ni kutafuta chakula tu, wala hamna cha siasa wala nini!!!!!! Hebu nitonye na mimi, hiyo chakula huko CDM bei gani. Kama siasa ni kutafuta chakula ya watoto, basi msiwalaumu hata hawa Lipumba na Mbatia, wanaganga njaa...
Na ni bora walizimikiwa umeme mkutanoni. Wao ndio walishinikiza mkataba uvunjwe, halafu wao hao hao ndiyo wanapigia kelele suala la Dowans halafu wanalalama nchi kuwa gizani. Lakini hawaji na mkakati mbadala wa kututoa gizani. Wa-TZ kwa kujifanya tunajua kuongea na kupiga kelele nyingi ni...
Weeeee !!!!!!! unaongea tu, vita kawaulize Kagera halafu urudi hapa JF utuambie tupigane. Kapigane mwenyewe. Siasa siyo vita unayofikiria, ama kweli umenyweshwa sumu tayari ya wazururaji wa mikoani. Mwanaume ni Mzee wa Kiraracha tu anayewapeleka puta viongozi wezi mawilayani siyo kuzunguka...
Slaa ni mwongo tu. Kumzushia mtu kifo hadharani halafu haombi hata msamaha kuwa alikosea/alipewa taarifa isiyo sahihi/hakuelewa vizuri halafu mnamuunga mkono!!!!! Kweli mlevi siyo lazima anywe pombe, kumbe hata siasa nayo ni ulevi. Padri mwongo!!!!! Ama kweli dunia imefikia mwisho. Huko...
Ukipigwa na mkeo unalalama kuwa serikali mbona imekaa kimya, ukifumania mtu akim...... mkeo unalalama kuwa serikali haipo makini, ukibanwa haja, mbona serikali haizuii. Watu wa kutaka kila kitu wafanyiwe na serikali hawatapata maendeleo hata siku moja. Maendeleo unajitafutia mwenyewe na siyo...
Zumbukuku mwenyewe. Hakuna la maana aliloongea!!!! Wewe na hao wazururaji wanaopita kila mkoa kupiga kelele akili yenu moja. Kama kweli wana akili timamu wangemuiga Mzee wa Kiraracha anayepiga mzigo kweli kweli katika Halmashauri za Wilaya hadi kuwapeleka mahakamani. Lakini kuzunguka mitaani...
Nasema na ninarudia tena.............."Wanaume wenye uchungu na nchi hii ni wale waliopeleka suala la kupinga kulipwa Dowans mahakamani. Wengine wote wanaozunguka mikoani ni madebe matupu tu" Hawa hawana sera ila wanatafuta sifa za kitoto. Msijifanye waarabu. Mwenye akili kaelewa.
Hizi ndizo tabia za CHADEMA za kutafuta CHEAP POPULARITY. Shibuda na Zitto wana shughuli za kufanya majimboni kwao wanakowakilisha siyo kuzurura tu mitaani kwa kisingizio cha maandamano. Kama mna uchungu na nchi hii wapelekeni mahakamani hao mnaowatuhumu siyo kutupigia kelele kila siku...
Nani msafi ndani ya CHADEMA ????? Acheni hizo. Wangekuwa wasafi wangetunga uongo wa kumzulia Dr. Balele kifo??? Tena anayezua huo uongo ni ex-Padri!!!!!! Ama kweli nyani haangalii kundule. Sijawahi kuona padri mwongo. Kule Musoma kazua uongo mwingine kuwa bustani ya Manispaa imebinafsishwa...
Usiwasemee. Labda una lako moyoni kama walivyo hao wazungukao mikoani. Wanaume ni wale tu waliofungua kesi mahakamani, lakini wanaoandamana, wanatafuta CHEAP POPULARITY. Haitusaidii sisi.
Ni mpuuzi sana. Tarehe 5 Januari katika uwanja wa Unga Ltd, Arusha alipotangaza kuwa atahakikisha nchi haitawaliki unadhani ni maneno ya mtu anayeitakia mema nchi hii?? Huyu hajawahi kuwa na familia ya kwake mwenyewe ndiyo maana hajui maana ya nchi kutotawalika. CHEAP POPULARITY.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.