Search results

  1. M

    TLS na wadau wengine wa sheria pingeni Tulia kuwania kiti Cha Spika

    Nilidhani Akson na Apson ni majina ya watu tofauti. Anayejua tafadhali tufafanulie.
  2. M

    Maandalizi ya Mkoa mpya wa Chato, Buchosa wakubali kuhamia Geita

    Mbona tunalazimisha Mambo? Taarifa nilizo nazo ni kwamba watu wa Ngara hawataki kuingizwa kwenye mkoa mpya wa Chato isipokuwa tu Kama makao makuu ya mkoa huo mpya yatakuwa Biharamulo.
  3. M

    Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

    Hivi huyu mtu aliokotwa wapi na Nani mpaka akakaliia kiti walichokalia akina Msekwa na wengine tunaowaheshimu mpaka kesho pamoja na kwamba nao walikuwa na mapungufu kama tulivyo wote?
  4. M

    Mbona hayati Magufuli alijenga vituo vya afya bila kukamua wananchi tozo za miamala? Alitoa wapi pesa?

    Mikoani vilio vinatawala....hospitali za wilaya, achilia mbali vituo vya afya, wagonjwa wanalazimika kununua vifaa tiba na madawa kwenye maduka binafsi ya madawa. Kuna faida gani kupanua ujenzi wa vituo zaidi wakati vilivyopo havitoi huduma zinazotakiwa?
  5. M

    Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

    Napendekeza Rais atumie muda wa kutosha kujifunza misingi iliyotumika kuanzisha TRA kama chombo nje ya mfumo wa kawaida wa uendeshaji na usimamizi wa utumishi wa umma. Baada ya hapo atagundua kuwa serikali kuingilia usimamizi na uendeshaji wa TRA ndiyo chanzo cha malalamiko yake juu ya utendaji...
  6. M

    A lesson from Mandela to our rulers

    Pillow Jordan was one of the members of his cabinet. He sacked him and after some time he reappointed him. After one of Ann's meeting in 1997 Mandela told Jordan that a wise president doesn't surround himself with people who always agree with him.
  7. M

    Hizi ndo shule 100 Kongwe na zilizotikisa Tanzania, na asilimia 90 humu tumepitia katika shule hizi

    Hata kabla sijasoma maoni ya wengine nakushangaa uuelewa wako wa 'ukongwe'.
  8. M

    RC Paul Makonda kutumia askari 400 wa JKT kufanya usafi wa mazingira

    Nampongeza sana kwa kutambua kuwa maamuzi name maagizo yanayotolewa na watawala bola utafiti sure bila kuweka mikakati thabiti, ikiwa ni pamoja name kutoa elimu kwa wahusika haiwezi kufanikiwa. kila jumamosi maduka Dar nzima na kwingine hayafunguliwi kabla ya saa 4 asubuhi eti kuwapa...
  9. M

    Masoud huu uchokozi utakucost sooner or later

    Napenda kazi ya Kipanya....saaana. Anafundisha jamii. Tumuombee. Heri ya mwaka mpya kwetu site.
  10. M

    UDSM-Law First Classes

    Waungwana hukubali kusahihishwa. Ahsante.
  11. M

    UDSM-Law First Classes

    Siyo kweli kamili. Fanya utafiti zaidi. 1st class zilianza kupatikana mwaka 1973/74
  12. M

    Kumbe inawezekana kuwashtaki Mkapa,Kikwete kwa makosa waliyofanya wakiwa mawaziri?

    Of course! Tatizo ni kulindana au kuoneana aibu. Hv kweli kama, nasema kama, huyo kiongozi aliyepokea "zawadi" ya almasi ambayo leo ina thamani ya dola zile ikiwa alikuwa ni rais na bado yuko hai, TUMWACHE KWELI APUMZIKE...kwa amani?
  13. M

    Tanzania kujitoa Jumuiya ya COMMESA yasababisha zao la Tumbaku kupoteza soko mkoani Ruvuma

    Tanzania haikuwahi kujiunga na Comesa pamoja na kwamba ilishiriki kikamilifu katika mchakato ulioianzisha. Ulipofika wakati wa kuridhia mkataba ule Mwalimu Nyerere alikataa..
  14. M

    Mapumziko ya Rais Magufuli Chato ni fundisho

    Juzi juzi wakati wa kuzindua mradi wa upanuzi (?) wa bandari aligusia juu ya yule mwenye ICD inayotumika kukwepa kodi. Akasema kampuni husika 'ilijiua' wakati fulani lakini ikafufuka kwa jina tofauti. Hakusema kwa nini ilifanya hivyo lakini inaelekea anafahamu. Walio kwenye industry husika...
  15. M

    Road licence kuwekwa kwenye mafuta sio uamuzi sahihi na athari yake ni kubwa zaidi ya tatizo

    Sijaweza kupitia maoni yote yaliyotolewa kuhusu uzi huu. Mnisamehe kama nitarudia maelezo ya mchangiaji mwingine. Kodi unayozungumzia SIYO ROAD LICENCE. NI MOTOR VEHICLE LICENCE.Ni vema tuelewe tofauti. Mtindo wa kulipia road licence kila unaponunua mafuta una miaka kadhaa. Sikumbuki. Serikali...
  16. M

    Clouds kwa uzembe huu mwombeni radhi IGP Simon Sirro

    Kwe Kweli. Leo imetokea kwa masaa mengi mpaka nikahisi hujuma kutoka kwa......mnajua nani!
  17. M

    Mjadala: Magari ya viongozi wetu na dhana ya kubana matumizi

    Na huyo mkurugenzi analo shangingi alilouziwa na serikali kwa bei che eti atalitumia kwenda kazini! Wakati fulani JPM akiwa waziri wa ujenzi alichachamaa na kujaribu kuthibiti matumizi mabaya ya magari ya umma. Amekuwa Rais, kwake hilo siyo tatizo tena. Sijui lini Watz watapata kiongozi...
  18. M

    Tunampa wakati mgumu Maxence Melo! Je, GSM Foundation mnawajua vizuri?

    Kuna kitu wanasheria wanaita 'kuondoa veil of incorporation' kwa maana ya kushika wenye kampuni inayodaiwa kufilisika. Kama hao walio nyuma ya GSM na DISCOUNT...ni wale wale waliokuwa HSC, kama kuna utashi wa kiutendaji na/au wa kisiasa, wanabambwa tu! Lakini kuna SACRED COWS wengi nchini mwetu.
Back
Top Bottom