Asante comrade kwa taarifa, naomba lakini kujua tu kiasi cha uelewa, bei ya mti mmoja wenye umri wa say miaka 6 inaweza kuwa shilingi ngapi? Na kwa heka hukaa miti mingapi? Asante
Comrades Habari,
Nafahamu wapowaliofanya interview ya kwanza ubalozini kwa nafasi hiyo (budget analyst) nauliza tu kuna yeyote aliyepata feedback yoyote already? na mchakato huu huchukua muda gani sijui?
Asante.
Wandugu Habari,
Nimeitiwa eneo lenyeukubwa wa heka mbili karibu na Dar zoo naomba kuuliza kuhusu uhalali wa maeneo yale. Ni nyuma ya Dar zoo wanauza milioni mbili kwa heka.
Mwenye ufahamu Tafadhali
Shukran
Ila pia Kama yupo mwenye eneo kule lenye uhalali usiotiashaka ataje bei Kama itakua...
Nina amini ulicho kiandika, Mtiririko wa habari yako unathibitisha uliye kutana naye ni Lowassa. Wengi wakipata nafasi ya kukutana naye hubadilisha mitazamo yao juu ya kiongozi huyu.
Hongera.
Comrade,
Comrades salaam,
Ninayaandika haya kwa mara nyingine ikiwa ni katikati ya kipindi cha mawazo kinzani juu ya hoja zenye tija kabisa kuhusu Tanzania yetu wakati kama huu ambapo wengi wetu tumeonyesha hamu ya kuona mabadiliko katika taifa letu na hata kufikia hatua ya kutafuta kuyapata mabadiliko...
Ujinga au werevu ni mtazamo tu...
Lakini Kumdhania mwenzako kuwa mjinga, eti kwakuwa anamtazamo tofauti naule ulionao wewe nadhani ndiyo "Ujinga" wenyewe hasa.
nikiwa na maana ya "ignorance". Wala sio kusudi langu kukukosea heshima. Tafadhali
Nasema ignorance, Kwa sababu mtu mwerevu au...
Hate Never changes anybody for the better.. Love on the other hand is the power that transforms nations..
Time like this our motive is being tested.. On whether a motive towards national liberation or national segregation, and self righteousness?
If our motive in this movement is to...
My point Is; Use your influence to the right end... Influence those that believe in you positively.
Whether you were right or wrong I don't intend to arbitrate..
But as a leader you need to know your role, in my opinion you are a better leader if you can keep your people together.
Asante nimekuelewa vizuri. Hataivo nadhani Tanzania inahitaji engine mpya., kuondoka kwa CCM kutatoa nafasi ya kuipa changamoto UKAWA kufanya vizuri kuliko CCM wakati huo huo CCM ikiikosoa UKAWA pale watakapo ona mambo yakienda vibaya. that competition is only healthy i believe, and that is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.