Search results

  1. emmarki

    Msaada wa mawazo wakuu

    phone book yako yote hakuna mtu wa kuweza kukukopesha hicho kiasi...jitathmini au watathimini waliokuzunguka ikibidi badilisha
  2. emmarki

    Kilimo cha vitunguu kilivyonitia hasara

    ushakuwa mhanga wa mikopo ya NMB tayari
  3. emmarki

    Uwenda Huyu ni Aina ya Mtu Unaemuhitaji Katika Biashara Yako

    kisiwa cha mafia kina mazao bahari mengi sana yanayofamika na yasiyofahamika, wachache wanaofahamu ndio wanaokula mkate huo...hata hao huishia mikononi mwa wachina wahuni. Kuna viumbe wa aina nyingi amabao bado jamii haijatambua umuhimu wake kibiashara (research hamna). Hata kwa mazao...
  4. emmarki

    Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni

    Karibu uje ufundishe vikundi vya akina mama na vijana. Nitafute kwa maelezo zaidi 0752042570
  5. emmarki

    Nahitaji anayeweza kufundisha ujasiriamali

    ndio natafuta mwalimu aliyeiva vizuri awatoe tongotongo hawa waswahili
  6. emmarki

    Nahitaji anayeweza kufundisha ujasiriamali

    Niko wilaya ya Mafia, nalea vikundi vya wamama na vijana. Wanachama walio ndani ya hivi vikundi shughuli kubwa niliyoona wanafanya sana ni wanakopeshana sabuni za unga. Wananunua carton ya sabuni ya unga mfano doffi wanakopeshana, baada ya wiki aliyekopeshwa anarejesha 2000 kwa kila pakiti ya...
  7. emmarki

    Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?

    samaki wapo wengi, kibua, ngisi, pweza wa kutosha
  8. emmarki

    Naomba msaada wa kujua Soko la Kaa, Pweza, Ngisi

    mkuu bado unahitaji hizi bidhaa 0752042670 WhatsApp/call/sms
  9. emmarki

    Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?

    mwani wa kutosha mkuu, karibu kuwekeza 0712864404
  10. emmarki

    Mgawanyo wa mali za familia baada ya mume na mke kuachana [sehemu ya 2]

    utaratibu wa mwanamke aliyepewa talaka (ndoa walifunga msikitini na cheti kipo) anayetaka kufungua madai ya mgawanyo wa mali anaanzia wapi? Nimegee hatua kwa hatua kiongozi
  11. emmarki

    Mnaotumia bidhaa mpya ya microsoft ya windows 10 someni tena hapa mjue hatari inayowakabili

    kuna mzee anatumia windows 7, anatumia third part apps kupata updates
  12. emmarki

    Sijaona mshindani wa Mnyalu Canvas mpaka sasa. Siri ya mafanikio yake ni nini hasa?

    nimefikiria nitumie brand yake (najua hana hati miliki) nifyatue turubali zangu niingize sokoni
  13. emmarki

    Kuongeza shelf life ya mboga za majani

    Nafanya biashara ya kuuza mboga za majani za aina tofauti, kwa hali hii ya joto zinawahi kusinyaa hivyo kupoteza muonekano wake mzuri na kukosa wateja. Nipeni mbinu ya kufanya mboga za majani zibaki fresh angalau kwa siku 3 hadi 5
  14. emmarki

    Wabongo tungekuwa tunaaminiana vijana tungepata fursa hii kwenye majiji yenye foleni mfn. Dar

    tafuta vijana anzisha kampuni na uisajili kabisa, itangaze uone majibu
  15. emmarki

    Nipo Posta hapa na CV zangu kama kuna ofisi karibu inahitaji mfanyakazi nielekeze nije

    usisahau na Bayport wapo victoria, ASA microfinance kinondoni B
Back
Top Bottom