Ni hivi wakuu,
Ni nani aliyewashauri haya Makampuni ya Simu kutoa Huduma ya Wateja kwa njia ya sauti na kuipeleka kwenye mitandao ya kijamii?
Yaani ukipiga simu unaambiwa unaweza kuchat na sisi kwenye mitandao ya kijamii, na ukienda kuuliza shida yako huko wanachelewa kujibu mpaka unatoka...
Habari Wakuu,
Nataka nivute Pikipiki kwaajili ya misele yangu hapa Town.
Tatizo Nikiinunua itakuwa Pikipiki ya Washikaji tu. Muda wote naazimwa, Siwezi kupata muda mzuri wa kuinjoy nayo.
Msaada, nifanyeje kuepuka Washikaji kuniazima Pikipiki mara kwa mara?
Habari Wakuu,
Baada ya Vodacom kupandisha gharama ya vifurushi vyao. Nimeamua kuiweka line yao pembeni na kuchukua TTCL. Ila sitaki kupoteza wateja wangu wa Vodacom.
Nahitaji kudivert line ya voda ili nikipigiwa simu ziingie kwenye line Mpya ya TTCL.
Naomba nipewe ujuzi wa jinsi ya kudirvert...
Habari Geeks,
Naomba kuuliza. Mfano, Mfanyakazi wa Voda akiamua kutengeneza namba na kisha kuzituma kwenye akaunti yake ya M-pesa kama muamala na baadae akatoa pesa kwa Wakala Mtaani.
Je, inaweza kuwa na athari zozote. Au ni nani atapata hasara kati ya Voda na Wakala?
Habari Wakuu,
Kutokana na maisha kuwa na mambo mengi imefikia hatua nahisi haya masaa 24 tuliyopewa na Mungu ni kama hayatoshi.
Nikijaribu kuyagawa kwenye ratiba yangu ya siku nahisi kuna vitu sivifanyi kwa ufasaha.
Mfano. Kwenye hayo masaa 24 natakiwa:-
• Nifanye kazi masaa 12.(day)
•...
Kutokana na Wimbo wa DiamondPlatnumz - Hallelujah kufikisha views 1M ndani ya Saa 15 tu, Imeleta minong'ono mingi ya kwamba jamaa ananunua Views na ndio maana Msanii mkubwa kama yeye hayupo VEVO.
UKWELI ni kwamba, ni kweli Kuna watu wananunua views YouTube. Lakini hii haiwezi kukupa uhakika wa...
Leo, Nabii Shepherd Bushiri amenunua Jumba la Kifahari lenye thaman ya US$ 12 Million, Sawa na Tsh. Billion 27.6.
Chanzo: Popular Zimbabwean Pastor Prophet Shepherd Bushiri Acquires New $12million Mansion(PHOTOS) ~ Welcome To Trezzy Helm
Kwanini watu wanalalamika sana.
Je, Ni dhambi kwa...
Leo ukienda Visiwa vya Zanzibar utashuhudia maghorofa kuanzia Unguja mpaka Pemba,mjini mpaka mashambani,maghorofa hayo yote naambiwa yalijengwa na Hayati Mzee Abeid Karume!.
Hayati Mzee Karume alijenga maghorofa haya kati ya 12.1.1964 baada ya mapinduzi na 7.4.1972 pale alipokutwa na umauti...
Kiwanja kipo Buswelu Mwanza. Ni tambalale. kipo pembeni ya barabara. Kina ukubwa wa 25x23m.
Bei ni million moja na laki tatu (Tsh. 1300,000/=). Maelewano yapo.
Nipigie kwa 0757078999, 0782082292.
Picha zinakuja...
Kama unahitaji friji na upo Mwanza. Hii hapa, bado mpya na inapoza sana. Ni model ya BOSS.
Inahitaji laki 350 tu.
Nipigie / sms / whatsapp kwa namba hii 0756851815.
KARIBU
Uchoraji-ni-sanaa-ya kupaka rangi kwenye uso wa-karatasi,-kitambaa,-ubao,-metali,-mwamba au penginepo. Tokeo la uchoraji huitwa picha.
Karibu kwenye uzi huu kuona picha mbalimbali zilizochorwa kwa mkono.
Toa Maoni au Ushauri kukuza Sanaa ya Uchoraji Tanzania. Kama wewe ni mchoraji pia, Ruksa...
Ni kiwanja kizuri. Kipo maeneo ya Kishiri -Igoma Mwanza. Kinaukubwa wa (urefu 45 na upana 39). Kipo pembe ya Barabara na Jirani na Shule. Pamechangamka na panafaa kwa biashara. Pia kuna miti ya miembe
Yeyote anaehitaji anitafute kwa namba 0756851815. PIGA AU WHATSAPP.
:thumbup:BEI NI POA.
Hizi ni baadhi ya Picha nilizochora. Tazama na kisha toa maoni yako. Ili kuikuza na kuiendeleza hii sanaa ya uchoraji.
Contacts:
Whatsapp- +255756851815
Instagram- Mchoraji_Cyper255
Link: www.instagram.com/mchoraji_cyper255
Facebook Page- Cyper Tanzania Drawing Arts
Link...
Leo nimeona Post ya Rafiki yangu facebook ikisema hivi;-
NAHITAJI USHAURI WENU GUYS. BE SERIOUS.
Juzi nilikua napitia Ukurasa wa Vodacom Tanzania nikakuta wameweka Tangazo lao la M-PESA lenye hiyo picha wakihamasisha watanzania wajiunge na Taasisi ya Utoaji mikopo iitwayo ZITTO KABWE...
Habari WanaMMU. Nina maswali haya;-
(Wanaume); Je, unamchukuliaje Mpenzi wako anapokuambia kila Mwanaume anaemtongoza.
(Wanawake); Hivi mnajifikiriaje kumwambia Boy wako kuwa flani na flani wamenitongoza? Mnakuwa mnamaanisha nini haswa?.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Voda kwa kuboresha INTERNET yao.
Japo wamepandisha gharama, Lakini sijuti kutoa 500/= kwa kujiunga na WAJANJA NIGHT OFFER.
Internet ipo kasi sana, na haijam jam kama zamani.
NB. BIG UP SANA.
MAONI YANGU TU!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.