Bila shaka nyote mmesikia kuhusu vurugu na mauaji yanayoendelea huko Garissa, nchini Kenya. Japo nakashifu tendo la wanajeshi kuwavamia wakaazi wa eneo hilo, nasikitika kuwa huo ni mwiba wa kujiletea. Ni juzi tu ambapo wanajeshi hawa walirejea kutoka Somalia walipokuwa wameenda kupigana na Al...
Si kujigamba wala nini lakini nimehitimu kwa lugha ya Kiswahili na ya Kiingereza, hivyo nitakuwa hapa kuwasaidia kwa aina yoyote mnayoitaka. Naamini nitaweza kuchangia sana kwa hilo.
Yote ni sawa. Ina maana ya mahali palipotengwa kwa kwenda haja. Pia msalani. Vilevile, choo inamaanisha uchafu unaotoka kwenye tupu ya mbele au ya nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.