Acha ujinga. This theory doesn't apply to Tanzania. Ukiaminiwa Ukifanya ujinga utanyolewa tu. Mbona hiyo principle hamu apply kwenye ndoa zenu kila siku zinavunjika? Magufuli songa mbele watu kama hawa wamekariri vitabu vya ulaya. Shiiit
Wewe mpk sikujua kama wewe ni kimeo. Yani unataka rais afanye jambo hilo hilo mwaka mzima? Hujui kuwa kuonyesha mfano ni tija ili wengine waendeleze? Usiku mwema ngoja nikiamka kesho nitakupasha vizuri zaidi
Naunga mkono hoja. Taifa hili limekuwa fujo tupu kila kona kanisa na matarumbeta usiku kucha. Hivi hakuna sheria ya makelele? Huwezi kuta vitu kama hivi nchi zilizoendelea eti kwa kusali kwako unakwaza wengine wasilale usingizi. Mimi mkristo lakini siamini katika fujo, kelele na kuwa kero kwa...
Crimea ndugu yangu ndiyo maana wajanja huamua kuchukua cha mapema manake wanadamu hawana shukran. Watanzania wengi hawajui wanachotaka na wengi roho wivu na midomo mirefu
Kama mnajua mmeibiwa Milango ya Mahakama iko wazi. Wa kuibiwa mtakuwa nyie? Mngeibiwa hata nusu kura si pangechimbika? Eti jamani, shirikisho loote hilo la makundi kede kede ya jamii ndani na nje ya nchi na ma PM woote hao bado mkaibiwa? Hahaaa hamfai you are not smart at all
Huijui ccm wewe. Siku ukijasikia wako pamoja sana usije ukatoa mimacho. Wewe unaambiwa hicho chama ni "he" na siyo "she" wewe huelewi tuu. Teh teh teh.
Ni hivi : ccm ni wao wote na wao wote ni ccm hivyo wale hawawezi kumwagana asilani. Ni chama sikivu na kinajali watu wake ndiyo maana...
Uongozi hautegemei elimu tu. Kiongozi huwa anasifa za ziada kama vile:- Uadilifu, subira, hekima, busara , uaminifu, kujishusha, kuwaunganisha unaowaongoza hadi wakubaliane kutekeleza jambo ambalo ni muhimu kwa Maslahi ya wote, hana kisasi wala kuweka jambo moyoni ambalo ni la chuki nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.