hapana mkuu umekosea kidogo kwa sasa mahakamani hawakubali kama ulivyosema bali ni ivi ukija mahakamani unamwona RO yaani karani mkuu ataangalia na kukupa bei ya kulipia atakupa pay slip ya mahakama uende benk kulipia then utarudisha ili upate risiti ya selikali na hakimu hapo atagonga muhuri wa...
huyo dogo anaitwa Barnaba anaishi tabata kimanga ni mdogo sana amekua namuona anaanza gym pale kimanga kwa doctor July tumemfundisha kajipiga buster baada ya maisha kuwa hayana mwelekeo kwake na sasa kajisalimisha kwa bibi bora apate pesa ya vocha
ni kweli hata biashara yako ya duka ukipanua zaidi wateja watatamani zaidi kuja kwani wataingia dukani kwako bila shida kwa kuwa kumepanuliwa kuna nafasi imepanuliwa
wakome hawa si ndo wale waliokua wanatoa remix ya ccm mbele kwa mbele na kukata miuno jukwaani ili kuvutia watu wajae viwanjani na wakome wamenyeke mpaka basi
nendeni kwa mkuu wakituo mkamueleze nyie mmepatana na kwa.amani mmekubaliana nje ya mahakama upelelezi unafungwa ni bure kabisa na ni njia ambayo kila mwenye akili anaipenda
hilo sio kosa kwa kuwa kwa wakati ule walikua wanaruhusiwa ni sawa na ishu ya viloba tu kukutwa kwenye yard ni swala la kusubiri tu tamko la serikali litasemaje
ndugu yangu usihangaike nenda station pale TRL watakupelekea kwa laki unisu mana umakodi behewa kwa laki mbili na nusu tu. utasalve pesa nyingi usafiri wa uhakika na salama TRL mubashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.