Kuna mtu anajiita "Bongo Zozo" na kaulimbiu yake "Fujo Isiyoumiza". Binafsi huyu mtu ananitatiza sana. Anafanya akili yangu iwaze na kuwazua beyond its ordinary scope.
Hivi huyu Bongo Zozo ni nani haswa? Ana mission gani hapa nchini? Ni mzalendo kweli kwa nchi yetu ama ametake cover ili aweze...
Clip hii inayomuoneesha Mdude Nyagali akiapa kutumia wembe kumnyoa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (sijui ni kwa namna gani) inaonesha kiwango cha juu cha ukosefu wa adabu wa mhusika kwa mamlaka za nchi na watu waliomzidi umri.
Kauli ya Mdude kwa Rais si tu ni ya kishenzi isiyopaswa kuvumiliwa...
Tundu Lissu hana huruma na Tanzania kabisa.
====
Wistleblowers Investigation Worldwide (WIW) imeibua mapya kwenye barua yake ya wazi kwa rais wa JMT na waziri Kabudi kwamba ubia wa Amsterdam na TL nia yake ni kuivuruga Tanzania. WIW inasema ina ushahidi wa kiuchunguzi unaothibitisha mkakati...
Ninafuatilia sana utendaji wa kazi wa kikosi cha ulinzi wa viongozi wa taifa letu, hakika umeimarishwa. In terms of equipments yaani wana madude yanatisha! Lile gari lenye maminara kibao linafanana na magari wanayotumia akina Trump na akina Puttin.
Hakika sasa tunajivunia kuwa viongozi wetu...
Ndugu zangu poleni na majukumu. Leo nimeona tukumbushane jambo muhimu la kuliewa sote Waafrika.
Nimeona tujikumbushe ni wapi wakubwa wa dunia wanatupeleka sisi tuitwao dunia ya tatu. Ni kwamba kuanzia karne ya 14 hadi 16 huko Ulaya tayari vijitaifa (nation states) vilikuwa vimeanza kupata...
Nimeisikia mahali kuwa kumbe mke wa zamani wa Diamond Platnumz na yule wa sasa Tanasha Dona, sijui Sembe, ni ndugu na kwamba Zari anamtumia Tanasha kum-monitor na kum-control Diamond.
Lengo ni kumfilisi kabisa na mwisho wa siku wamwache solemba. Unaambiwa Zari ni mafia aliyeshindikana na kwamba...
Nimefuatilia taarifa za January Makamba, William Ngereja na Nape Nnauye kumuomba msamaha Mheshimiwa Rais wetu. Nimetafakari kwa kina na kuja na tahadhari zifuatazo;
1. Rais asiwaamini haraka kwani inawezekana ni mkakati wa genge kufanya hivyo kufunika kombe na kuhadaa ili wapate nafasi nzuri ya...
Usiku wa kuamkia leo eneo la Ngadinda, Madaba, Songea lori lenye mafuta lililokuwa likitokea DSM limeacha njia na kisha kugonga miti na kulipuka. Kichwa cha gari na matairi vimeteketea kwa moto huku tanki la mafuta likibaki salama. Vyombo vya ulinzi na usalama vimefika kwa wakati na kufanikiwa...
Kwa taarifa yenu mnaolalamika hovyo eti Rais Magufuli anapendelea Chato nendeni Ruvuma mkaone kazi ya Magufuli.
Kuna ujenzi wa uwanja wa ndege Songea Ujenzi mabarabara kwa kiwango cha lami Songea Mjini, Vijijini na Madaba.
Ujenzi wa stendi kubwa ya kisasa shule ya Tanga, Songea Mjini.
Ujenzi...
Nimeona clip za video zikiwaonesha Diamond akiwa Kahama na Harmonise akiwa Mtwara, wakirusha fedha na wanachi wakizigombania. Nauliza tu imekaaje kwenye sheria zetu za fedha?
Tanzania Kama yalivyo mataifa mengine ya Afrika tunajitambua na kujitofautisha na mataifa mengine ya magharibi Kwa kuwa na Mila, tamaduni Na desturi za kistaarabu zinazoweka mipaka ya mahusiano ya jinsi Na jinsia. Kiafrika ni mwiko na laana mwanaume Kwa mwanaume ama mwanamke Kwa mwanamke kuwa...
Nilitarajia kusoma andiko la wahariri lililojaa hasira dhidi ya vyombo vya habari visivyokuwa na vyama vya wafanyakazi vya kuwatetea dhidi ya madhira wanayokumbana nayo katika maisha yao ya kazi kila kukicha.
Nilitarajia kusoma andiko la wahariri lililojaa hasira kuhusu kuporomoka kwa kiwango...
KANISA la Waadventista Wasabato (SDA) limesema tamko linalofaa kwa viongozi wakiwemo wa dini ni Watanzania kuunga mkono hatua ya kutoka kwenye umaskini na kwenda katika uchumi wa viwanda ambao Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli, inalisimamia vyema jambo hilo kwa manufaa ya...
Jana kwenye misa ya mkesha wa Pasaka Askofu Damian Denis Dallu wa Jimbo Kuu Katoliki Songea, bila lining'unya maneno ameponda maandamano haramu yanayopangwa kufanyika tarehe 26.04.2018. Alisema kuwa yeyote mwenye jambo lake atafute siku yake na siyo tarehe 26.04.2018 na kwamba anayetaka kafara...
Ndugu zangu watanzania wazalendo kwa nchi yetu nzuri ya Tanzania mtakumbuka tarehe 29.03.2018 Wabunge wa CHADEMA baada ya kutoridhishwa na hatua ya Mbowe na wenzake kutofikishwa mahakamani na mambo mengine kama hayo, wakiongozwa na Godbless Lema walikwenda kwenye ofisi za Umoja wa Ulaya...
Ndugu watanzania wenzangu wazalendo, wapenzi na waunga mkono jitihada za Rais makini, mzalendo, mwenye uthubutu na asiye muoga wa mabeberu uchwara Dkt John Joseph Pombe Magufuli, ninatumai mnauona muunganiko wa dots uliopo kati ya kile kinachoandikwa na kijigazeti uchwara cha Economist kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.