Pete Felix O'neal
Alizaliwa tarehe 27-07-1940 huko Kansas City siku kama ya leo, anayotimiza miaka 83. Ni mwanamapinduzi mwenye asili ya kimarekani akiwa menyekiti wa Black Panther Party- for self defence . Chama cha wapigania na kulinda haki za watu weusi wa kimarekani kama majimbo yao zidi...
NAJUTA KUMSOMESHA
Najuta leo najuta
Majuto ni mjukuu
Mwenzenu yamenikuta
Nimeshavunjika guu
Wakubwa walinambia
Masikio nikaziba.
Hata ada nikalipa
Chuoni kumpeleka
Nikajiona kibopa
Kidume nimeshafika
Kumbe aniangalia
Atimize zake ndoto.
Leo chuo kahitimu
Hataki kunisikia
Kweli mi mwendawazimu...
Penzi lako nili tamu,kwako nipo taabani
Penzi aliishi hamu, limeingia damuni
Hii sasa yangu zamu, kufurahi Duniani
Nimeipata bahati, kupendwa na Malaika.
Penzi lako kama nuru, linanitoa gizani
Kukusifu si kufuru,wewe ndo wangu mwandani
Nitaanza kufuturu, kupiga vitu fulani
Utamu wa penzi lako...
Wizi wa kimtandao umekuwa ni jambo la kawaida sana katika jamii yetu hii inatokana na ukuaji wa teknolojia na uelewa mdogo wa watu wengi katika mayumizi ya vifaa vya kidijitali vya mawasiliano, hii ni mbinu mpya ya kuwaibiwa watu kwa njia ya mtandao huku mwizi huyo akiwa amejificha nyuma ya...
Katika Kipindi cha miaka iliyopita, utamaduni ulikuwa ni moja ya sababu kubwa zilizopelekea Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia kuwa sababu kubwa ya mateso Katika Jamii,wengi waliathirika kisaikolojia, kimwili na wengine kiroho kwa kupoteza Maisha yao na wengine kupata matatizo ya kiafya ya...
Dunia, mataifa makubwa na mataifa madogo, ulimwengu mzima unakubali kuwa haki za binadamu ni jambo lolote ambalo binadamu anastahili kuwa nalo tangu anapozaliwa bila ya kujali jinsi ya mtu.
Kiimani na kiutamaduni pia, inatambulika kuwa haki za binadamu zitaendelea kuwepo hadi pale binadamu...
Moja kati ya maadui wakubwa wa taifa letu na nchi ya Tanzania ni umasikini, umasikini ambao umekuwa ni tatizo Katika familia nyingi za mijini na vijijini, umasikini ambao unatokana na matatizo mbalimbali ambayo yanahitaji kutatuliwa kwa Pamoja ili kuondokana na hali hiyo.
Watu wengi waliopo...
WANYAKYUSA NA UPASUAJI WA MAITI
Afrika haikuwahi kuwa na wajinga kiasi hicho ndio maana watu walifuatwa kufanywa watumwa na kwenda kujenga Ulaya, ila ni lazima kuwalisha waafrika matango pori kwa sababu ya shida zao ili waamini kweli walikuwa wajinga.
Hebu leo tutazame kabila la Wanyakyusa na...
Hakuna kitu nachokichukia na kinachonikera kama kusikia kuna watu wana amini kuwa eti Ushairi umeendelea kwa sababu ya waarabu na wengine kwenda mbali zaidi na kusema Kiswahili ni kiarabu na wengine kupitiliza mipaka ya kufikiria hovyo kabisa na kuona kwamba ukichanganya maneno ya kiarabu hata...
Chapa ya Mnyama
Mrefu tena mpole,rangiye ya kupendeza
Rangi kama ya vipele,manyoa ya kuteleza
Wale wazee wa kale,wao walipendekeza
Chapa ya huyo mnyama,yafaa wakilogewa.
Mwenye mwendo wa maringo, na mwili ulonyooka
Ndefu sana yake shingo,matawini inafika
Hawa walishwa uongo,kumbe wamelaanika...
MZURURAJI
Nenda kote uzunguke
Kapayuke upasuke
Umbea kautangaze
Na taifa uliuze
Wazalendo twasubiri
Kikinuka tukuanze
Mjinga sana ni wewe.
Kijijini una ndugu
Tena masikini sugu
Kula yao hawajui
Nyumba mbavu ya mbwa
Godoro lao busati
Ila wewe kichwa maji
Kutwa kiguu na njia.
Asili yako kiburi...
Udalilishaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya mwanamke umekua ukichukua nafasi katika jamii ya watumiaji wengi wa mtandao nchini Tanzania huku idadi ya wanawake na mabinti wakizidi kunyanyaswa kupitia mitandao ya kijamii.
Picha na video za udhalilishaji wa mwanamke zimekua zikisambazwa na baadhi...
WASO NA MAONO,WATAWACHAGUA
Naam
Haina ubishi,hao
Wasojitambua
Wasojielewa
Waso na maono.
Tuseme tu
Ndio wao,viherere
Barabarani,na vikengele
Vigelele,wapiga makofi
Tutawachagua.
Tena
Kwa mara nyingine
Tuwape ulaji
Wale,wanenepe
Si ndio.
Hivyo
Tena,hivyo hivyo
Ndivyo tunataka,tumelogwa
Tena...
Haja yangu ni kuliona jimbo la Arusha mjini likiwa Geneva ya kweli ya Afrika,kuigeuza na kuifanya Arusha kuwa makao makuu ya utalii Afrika ya mashariki na kati na kuweka mikakati na mipango na wadau wa utalii katika jimbo hili kuhakikisha utalii unatangazwa na vijana wanapata ajira ya uhakika...
TUNGO HURU SI SHAIRI
Msiojua kutunga, leo nawapa salamu
Tungo mnazozitunga, siyo tungo mfahamu
Mnapaswa kujipanga, na mtunge kwa nidhamu
Leo naimwaga mboga, tungo huru si shairi.
Mashairi bila vina, si shairi mtambue
Nitasema mkinuna, mkitaka mjiue
Hapo utunzi hakuna, rukeni mjibenue
Leo...
MDAHALO WA BAJETI
UKUMBI: ZOOM
Topic: Mdahalo Kuhusu ya Nafasi ya Vijana Katika Bajeti MPYA 2020-2021
Time: Jun 27, 2020 11:55 AM Africa/Dar_es_Salaam
Join Zoom Meeting
Join our Cloud HD Video Meeting
Meeting ID: 786 0216 8531
Password: 2sqLi9
NIMEKUFA
Masikio yameziba, sisikii na sioni
Shingoni yamenikaba, nimelegea moyoni
Ni nani wa kunibeba, nyota ipo ukingoni
Nimekufa nimeoza, nasubiria kunuka.
Niache niwe mtumwa, penzi lake ni kifani
Hata kama nitasemwa, simwachi yeye jamani
Hata mate nikitemwa, namganda kifuani
Nimekufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.