Akili za magamba zimefikia mwisho kwa sasa. Badala ya kujadili sera za chama, wao kutwa kucha wanamjadili Lowassa na Ukawa.
Hebu leteni thread za kujadili sera za vyama ili tuzichambue
Jamani mimi nakumbuka mwaka 1993 nikiwa kidato cha kwanza ndipo nilipoanza kuipenda Club ya Simba. Ilikuwa na wachezaji wazuri sana akiwemo Gabriel Peter aka Gebo Peter. Alikuwa ni namba tisa mzuri sana na alitumia urefu wake kufunga magoli mengi sana. Kikosi hicho kilikuwa na akina Mohamed...
Nimefurahishwa sana na hii taarifa.
Siyo kweli kwamba Tanzania inakwamisha EAC. Soko la pamoja la EAC linatamka free movement of people, labor, capital, goods, services etc. Nadhani ni jukumu la kila nchi mwanachama wa jumuiya kuhakikisha kuwa wanajumiuya wanaweza kupata hizo free movement kwa...
Hata mimi nimeshindwa kuwaelewa na pia wasisingizie kupanda kwa umeme n.k. Kama kupanda kwa gharama za uendeshaji siyo kwa airtel tuu na kwa watoaji huduma wengine.
Walivyoanzisha hizo huduma za siku, wiki, mwezi n.k walitutangazia na ndio maana tukajiunga nao. Sasa wanavyopandisha bila kutoa...
Mbowe kuwa Mweyekiti kwa vipindi viwili ambavyo vinaisha mwakani, kelele nyingi sana kuwa CDM haina demokrasia, wakati muda wa uchaguzi mwingine bado. Jana nikamwona Lipumba na nikajiuliza maswali, hivi huyu jamaa amekuwa mwenyekiti wa CUF tokea lini? Mbona yeye kelele hapigiwi? Au kwa sababu ya...
Mbona Ushauri mwingi wa CDM unatekelezwa na Serikali? Tuanze na Katiba Mpya, hiyo ilikuwa ni ilani ya CDM.... na msuala mengine. Kuna ushauri wa maaana sana huwa utolewa na CM lakini Serikali haitaki kuuchukua. Katika Bunge la baeti, mbona mara nyini CDM wameishauri Serikali nama mbalimbali za...
Pole kamanda, nakuaminia sana na harakati zako za ukombozi. Wewe ni M4C damdam. Nadhani mipango yenu kwa 2013 imekamilika washeni moto sasa!!!!!!!!!!!!!!!!
Mzee J, heshima mbele Mkuu.
Nchi moja kuwa na katiba mbili zipo nyingi. Kuna nchi zina utawala wa majimbo na kila jimbo lina katiba yake. Mifano ipo mingi tuu.
Suala la azimio la Arusha kuzimwa Zanzibar watu wengi wanajua. Suala la msingi hapa ni je Zanzibar iliwahi kuwa huru kabla ya muungano...
Olesaidimu,
Kama post yangu hapo juu nilivyosema, Megji ni mchafu, tena sana. Ana tuhuma nyingi za kifisadi na hivyo hafai kabisa kuwa kiongozi wa chama. Ila katika ufisadi wa EPA nadhani tutakuwa tunamwonea huyu mama, ingekuwa kuuza vitalu, mikataba mibovu aliyoingia akiwa waziri wa fedha nk...
Namg'atuka,
Be realistic please, mtoto wa mjini ametoa maoni yake wewe yajibu na siyo kusema atakuwa ni mwana Cdm. Jibu hoja na siyo kukimbilia vyama. Elezea kuwa Mangula na CCM hawakuhusika na rushwa ya EPA, Zakia Meghji hakuwahi kuwa fisadi, hajawahi kuiba vitalu, hajawahi kusaini viti...
Nyamtoroka, heshima mbele!!!!!!
Naomba kuuliza na kuweka historia vizuri. Sehemu kubwa ya wizi wa EPA ulifanyika mwaka 2005, na fedha hizi zinadaiwa kumweka madarakani rais J.K. Safu ya uongozi ya mwaka 2005 katika CCM, Mwenyekiti alikuwa Mkapa, Makamu bara Malecela, Zanzibar akiwa Karume...
Source pleaseeeeee!!!!!
Sidhani kama **** ukweli, Mh.M.J. Mwandosya hana mtoto aitwaye Debora. Ana watoto watatu, Max, Emmanuel na Sekela ambao wote wana shughuli zao za maana na sidhani kama wanainterest na siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.