Mimi sio muumini wa watu Bali mifumo ya uongozi,unaweza kuwa kiongizi mzuri mfumo ukakukaba.....isijeikawa anchokisema Makamba akitaka kukiweka kwenye matendo,anakutana na mfumo
Hupo usemi wa kiafrika unaosema"matako ata yawe na haraka kiasi gani hayawezi kuwa mbele" .Uongo utadhihilika hivi punde vinginevyo jaj nae awe wa mchomgo.
Ajali za moto zimekuwa nyingi nyakati hizi, watu wamepoteza mali, mitaji na maisha yao yamekuwa magumu kwaajili ya watu wachache yamkini wanaolinda maslahi ya wachache na tume na chunguzi hazielezi kinagaubaga nini vyanzo na namna gani Mambo haya yatakomeshwa.
Ni jambo ambalo lilichelewa Sana,serikali makini zote duniani zina hifadhi ya mafuta asa wakati wa shida inapotokea na uondolea wananchi bughudha nyakati wa panda shuka ya bei ya mafuta.
Hakuna wa kufukuza hapo!
Nani kakwambia TBC haina mvuto ?Sisi kama SISI tuneridhika sana na utendaji wao wa kazi na tuweza kusema kwa uhakika kazi yao ni nzuri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.