Aluta Continua. Chama ni zaidi ya mtu. Amesimamia upande wake nihaki yake na mapambano yanaendelea. Anauhuru kama ambavyo amekua huru kutimiza matakwa yake kwenye nafasi nyingine alizokuwanazo kuanzia kwenye Dini, CCM, Familia na nyingine. Kikubwa atambue hayo anayoyaongea watanzania wameyasikia...
Mandla. Nini kibaya hapo?kwani huo msaada wanakua hawajatoa wao? kama wametoa wao kuna ubaya gani wakiandika kwamba wametoa msaada? au msaada ni siri? mbona wafadhili wa nje wakitoa wao wakiandika ni halali? au kupata msaada kwa mzungu ni halali lakini kwa mweusi au mswahili mwenzako ni dhambi...
Tanzania ina eneo la kilomita za mraba karibu 950,000 Na watu chini ya milioni 51. kwa tafsiri fupi tu ni kila mtanzania anatakiwa amiliki zaidi ya kilomita za mraba 47. jiulize kilomita hizo za mraba ni hekari ngapi za mraba? Tanzania bado ni kibwa sana na ingekua uzalendo zaidi kuwahamasisha...
Nimuhimu kujua kwamba ni haki ya kila mtanzania kumiliki ardhi katika Nchi yetu. Na hakuna dhambi yoyote kukiliki kiasi chochote cha ardhi so long as unamiliki kihalali. Kama alimilikishwa kihalali ni haki yake na niwakumbushe tu hilo ni eneo dogo sana ukilinganisha na maeneo watu wanayomiliki...
Hakika tutashinda na zaidi ya kushinda. Tumebakiza softy parts Kufix. Tuhamasishana kujitokeza kupiga kura. This is true reflection ya GariGari ya watanzania kutaka mabadiliko na mabadiliko hayatapatikana kwa kuishia kwenye maandamano Bali kwa kupiga kura ya mabadiliko.
Huu ni utetezi wa ajabu sana tena toka kwa mtu ambae anaaninika amehudhuria darasa la sheria( Sina hakika kama ni Mwanasheria) hasa anapoamini kwamba atahalalisha uovu wake kwa kigezo cha uovu wa mwingine kama upo.
Hongera ZZK kwakuweka viwango vya uhalali wa kimaadili.
Mwanasheria msomi...
Kwani huyo anaetakiwa kuja kuzindua bunge la katiba yukowapi? Analipa umuhimu gani hili jambo mpaka ashindwe kuliweka kwenye vipao mbele vyake vya ratiba? Je inawezekanaje kuwakilisha katiba kwenye bunge ambalo halijazinduliwa?
Ni kweli mtu huyu alieweza kutoa msafara toka Uswis na kukatiza...
Unatosha sasa na inatisha sanaa... Cdm ni nowma... Tunawashika mbayaaa!!! Watanzania wa sasa tumeamka na hatuogope tena... Mapambano yanaendelea mpaka kieleweke
Kamanda hongereni. Tunamshukuru mungu kwakoa ametimiza ahadi yake kwa watu wake. Binafsi nilijua tutashinda ila nilishtushwa sana na namna ya ujasiri wa kijangili na dhuluma zidi ya haki ya watu kuishi na haki ya watu kushiriki katika kuhamua hatma yao ya kisiasa. Kujichagulia viongozi watakao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.