habarini wana jf
mi mwenzenu kuna kitu kimenikwaza na kimeniumiza sana
mtaani kwetu kuna mwanajeshi kaibiwa laptop,leo siku ya tano
wanapiga watu hovyo,kijana akikutwa barabarani ni kipigo
inasemekana kuna kijana amepigwa baada ya hapo wakampeleka
kituo cha police bahati mbaya amekufa,hajulikani...
Ni tukio tulilosubiri kwa hamu
na tushukuru mungu kwa kutupatia
kiongozi mpya wa kanisa katoliki
mungu amuongoze ili nae aweze kuongoza kanisa!
ameeeen!
MWENYEKITI WA KAMATI:BABA V,MSAIDIZI WAKE MZABZAB!
KATIBU WA KAMATI: JUDGEMENT.MSAIDIZI WAKE NI DONN!
MTUNZA FEDHA: NDUKI,MSAIDIZI WAKE NI SLAVE!
MAJUKUMU:
MAPAMBO: Dena amsi &cacico
CHAKULA...
Jamani watu na bahati zetu,mie nimeonekana na mwanachitchat mwenzangu,siku si nyingi tunataka kutangaza nia,ili ndoa isiwe na mapicha picha naomba mwenye pingamizi ajitokeze tafadhali,nimempata wa moyoni RUTTASHOBOLWA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.