The best & sure experience utaipata kwa huyo mrembo. Why dont you just approach her? Mmekuaje watoto wa siku hizi? Huu ni udhaifu mkubwa
Unakuja kutuuliza sisi wakati mtu mwenyewe hatumjui. Unadhani experience ya kumtokea Asha itafanana na ya Rachel?
Watu mnajitoa ufahamu tu.
Hivi itakuwa ni ligi ya namna gani siku Aziz Ki, Mudathir, Mayele, Djuma, Chama, Moses Phiri etc wakiamua wote kwa pamoja kudai hawana furaha na wanataka kuvunja mkataba?
Yanga anachofanya sasa ni kwa manufaa ya Ligi ya Tanzania. Basically Yanga hawana tena mpango na...
Ingekuwa uchaguzi unaamuliwa na kula halali zilizowekwa kwenye ballot box na wananchi, CCM wangekuwa nje kitambo sana
Lakini upinzani bado wana la kujifunza, ukianzia na jinsi uchaguzi wa viongozi unavyofanyika. Kuna vyama vina wenyeviti wa kudumu. Yaani vyama vinaendeshwa kama VICOBA
Akishikwashikwa na kugongwagongwa hovyo lazima yatepete na kudondoka
Jichunge sana au mwambie huyo unayemuhofia ajichunge. Vijana wa kiume sio wema linapokuja suala la kugegeda.
DCs/RCs ni post za kisiasa na ukifutwa unarudi kwako chap kwa haraka. Ni DEDs tu ndio wakitumbuliwa hubaki Serikalini, provided hakufukuzwa kwa kosa la jinai linalowezs kumfanya akatupwa lupango
MaDC wengi njaa tupu na ombaomba wa kutupwa. Wengine wanatembeza bakuli kwenye NGOs kuomba hela ya mafuta na service ya gari.
Kwa mtu mwenye steady stream(s) of income hawezi kukubali uDC tena huko nanjirinji ndanindani.
UDC sio kazi ya heshima maana unaweza kufutwa suddenly tena bila hata...
Wanaofanya hivyo wana uhuru na haki na wala sio jambo la ajabu to the extent ya kufunguliwa thread
Wengine wanayatumia matokeo haya kama “mid-term review” na kuona michepuo ambayo mtoto anaweza kusoma huko mbele
Let them be!
Blocking a number ni utumwa flani hivi. Kina dada ndio hufanya hivyo especially kama kuna mwanaume anasumbua sana
Mtu kama huna mpango nae sasa na hata baadae na ulishaona hana mpango na wewe , just futa hiyo namba. Chances are hatokupigia kabisa. Siku akipiga ukamuuliza yeye ni nani kama ana...
Katazo ni jambo moja na uhalali wake kisheria ni jambo tofauti. Katazo lilikuwepo na Slaa analijua hili. Kusema kitu tofauti ni kujitoa ufahamu
Hivi kuna yeyote aliyewahi kwenda mahakamani kupiga katazo hili haramu na kuomba tafsiri sahihi ya hii kitu? Tumekuwa wanyonge sana na 2025 tutachapwa...
Hakutakuwa na Tume huru. CCM wataprint formu moja tu ya Mama. CCM watapora kama kawaida
Nothing changes. Kilichotokea 2005, 2010, 2015 na 2020 kitajirudia. If you keep doing the same thing, you will keep getting the same results.
Katiba mpya na Tume huru watu huwa hawapewi kwenye silver plate
Mpaka hapo hujaelewa tu? Wala hukuhitaji kuja huku
Keshakuona fala chuma ulete. Just move on. Hiyo 80K ungekuwa unampa mzazi/mlezi wako kila week, baraka zako zingefurika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.