Search results

  1. paulsifa

    Helen Kijo Bisimba na Timu yako mko wapi kuongelea mauaji ya askari?

    Just call me by my name SIFA. Sihitaji masifa yoyote ndugu, tafadhali....
  2. paulsifa

    Helen Kijo Bisimba na Timu yako mko wapi kuongelea mauaji ya askari?

    Hujataka kusoma, hilo sio tatizo langu. Naitwa Sifa na sio hilo jina unalotaka kuniita. Jina langu liko fupi sana, sijui kwa nini unataka kulirefusha.
  3. paulsifa

    Helen Kijo Bisimba na Timu yako mko wapi kuongelea mauaji ya askari?

    Kuweka kwenye mitandao ni sehemu tu ya usambazaji wa report na matamko. Report zote zinasambazwa kwa wadau wote kwa njia nyingine mbalimbali. Zinatolewa bure jwa yeyote anayehitaji. Matamko yote, ambayo ni kwa vyombo vya habari yanatolewa mbele ya vyombo vya habari. Kama umeangalia na kusikiliza...
  4. paulsifa

    Helen Kijo Bisimba na Timu yako mko wapi kuongelea mauaji ya askari?

    Ingia hapa www.humanrights.or.tz halafu ingia kwenye Reports. Kuna report na matamko yote yanayotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu jueleza hali ya haki za binadamu nchini katika vipindi husika.
  5. paulsifa

    Helen Kijo Bisimba na Timu yako mko wapi kuongelea mauaji ya askari?

    Kituo cha Sheria na Hqki za Binadamu kimeanzishwa mwaka 1995. Mauaji ya Mwembechai yalikuwa mwaka gani?
  6. paulsifa

    Kudorora Kwa Utawala wa Kisheria Tanzania

    Mkubwa tunaboronga ili mambo yabadilike.....
  7. paulsifa

    New Hope As Petra Diamonds Takes Over Mwadui

    Nimekutana nayo hii at allafrica.com East African Business Week (Kampala) Tanzania: New Hope As Petra Diamonds Takes Over Mwadui 7 March 2009 Email|Print|Comment Share: Dar Es Salaam — Petra Diamonds on February 19, 2009 took over Mwadui's Williamson Diamond Limited (WDL)...
  8. paulsifa

    Home sweet home

    ndugu yangu hayo unayosema ya kweli kabisa,sijui Fanta ya kwetu ina nini cha ziada lkn ni tofauti kabisa na za huku....
  9. paulsifa

    Migomo Chuo Kikuu cha Dodoma na Maslahi ya Wahadhiri & Wanafunzi

    huu upuuzi sijui utaisha lini.si kila mgomo lazima utawanywe na mabomu.mabomu yanafaa kutumika pale tu inapoonekana kuwa kuna tishio la uvunjwaji wa sheria ambao unalenga katika uvunjwaji wa amamni,hii ni common sense haiitaji utaalam wowote what so ever wa kisheria.kama watu wamekusanyika tu...
  10. paulsifa

    Mtanzania auawa kikatili Dubai

    kweli sisi katika utumishi we sacks.kama ndugu wamekuja kukueleza au kufuatilia habari za ngugu zao walio nje badala ya wizara kufanya jitihada kuwasiliana na balozi wao wanatoa simu basi ndugu ndo wapige.ningetaka simu si ningeingia mtandaoni ningeipata hata mie mwenyewe?
  11. paulsifa

    Vote for mt. Kilimanjaro now for the new wonders of nature

    Guys we are talking about the WONDERS OF NATURE kwa sababu nature imefanya mambo yake ya kushangaza pia na mojawapo ni Milima na vitu vingine vingi.Tukivote Kilimanjaro ni njia mojawapo ya kutangaza Mlima Kilimanjaro kuwa upo Tanzania.Likini there is one problem,nimefollow the link that was...
  12. paulsifa

    Ijue Sheria Wiki Hii

    lakini najua kwa nchinyingine kama uturuki wana kinywaji ambacho basically ni kama gongo ambacho kwa sasa kinapromote sdana nchi yao.wanasema hujafika uturuki kama hujaonja "raki".kwa hiyo ni swala la kuwawezesha watengenezaji locals kuweza kutengeneza gongo amabayo itakuwa salama kwa matumizi...
  13. paulsifa

    Ijue Sheria Wiki Hii

    well,sheria ni sheria tu hatuangalii kama makabila fulani wanaitumia kama dawa ya kipindupindu au la..kama ndo hivyo basi na bangi iwe justifiable to some people wanaoitumia kama dawa au kama "holly sacrament" according to some rastafarins........
  14. paulsifa

    Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

    nakubaliana nawe,lakini kumbuka kuwa katika kutengeneza bond hiyo kati ya mama na mtoto,kujifunika au kufunika mtoto inaweza kuaffect kwa namna fulani.mara nyingi mtoto anapontonya basi anakuwa anaangaliana na mama yake kwa namna ambayo kwa kweli ni wao wawili pekee wanaweza kuielezea,so...
  15. paulsifa

    Favourite Drinks: Kinywaji Kipi Unakizimia Sana...(Alcoholic & Non-alcoholic)

    alcoholic kilimanjaro..non alcoholic tangawizi...
  16. paulsifa

    Ze Comedy aka Orijino Comedy: Mwendelezo

    muhimu ni kuhusisha wataalam wa kisheria wakati wa kusaii mikataba,na kupitia sehemu zote za mkataba.wanachoweza kufanya sasa hivi ze comedy ni kwenda na mkondo wa sheria,huko peke yake ndo wanaweza kufuata ufumbuzi.sio kukimbilia kwa waziri au raisi.ianbidi tujifunze kuendesha mambo kitaalam...
  17. paulsifa

    Dr Hussein Mwinyi awe rais wa Tanzania 2015

    i dont care nani atagombea kwa upande wa ccm kwa kipindi kinachokuja. swala si kutaka ccm pekee iendelee kutawala.mi nadhani wapinzania wajizatiti kuingia bungeni hapo ndipo tutaona kwa dhati uwezo wa serikali kufanya kazi.imagine kina lipumba,mrema,mtikila na wengine wao wangekua bungeni...
  18. paulsifa

    wikiendi ukweni!...

    mtoto kwanza ati,hakuna hata kufikiria.mke anaweza kujitahidi akjiokoa mwenyewe.najua hata yeye atapiga kelele,"baba nanihii muokoe mtoto".
Back
Top Bottom