Najaribu kulogin inanikatalia hawa jamaa wanapita madukan wanasema service levy ni kila baada ya miezi 3, yan jinsi unavotoa risiti wanapiga hayo mauzo yako ya miezi 3 mara 0.03 inakuja pesa ndogo sana ila hawa jamaa hawaelewi wanapiga mara 3 yan miezi mi3, kwa hyo kwa sisi wafanya biashara...
Nimekua nasumbuliwa na tatizo la mkojo, yaani unabana sana nisipowahi kukojoa unaanza kutoka vitone tone hasa unapokaribia choo ndo balaa, Kama asubuhi nakua sijala wala kunywa chochote lakini naweza kwenda hata zaidi ya mara 2 kwa lisaa choon. Hili tatizo linaninyima hata raha ya kunywa maji...
Habari zenu Wana jukwaa naomba kupata ufafanuzi Kama kuna watu wa Tra humu ndan. Kuna taarifa zinazosambazwa na maafisa wa TRA kuwa inatakiwa kufika kwa watu waliokuuzia mashine ili wakaiprogram mashine ili iwe inatoa risiti iliyo na barcode.
Kwa hyo wamesema tupeleke mashine pamoja na Tsh...
Heshima kwenu wakuu
Laptop yangu aina ya Dell Latitude D420 haiwaki, nikiiwasha inaishia kuwasha ivi vitaa vya caps lock, Bluetooth na vinaonesha mwanga kwa sekunde kadhaa alafu vinazima na ndo inaishia hapo hapo bila kuonesha chochote kwene display, nimechomeka power pia taa ya battery...
JF Doctor ili tatizo linajitokeza mara kwa mara kwa huyu mwanamke niliye nae kikubwa zaid nna malengo nae!, kila tunapofanya kile kitendo yeye hujiskia maumivu tena ya hali ya juu inafikia hadi damu zinatoka.
Baadae baada ya tendo mara ya kwanza nilikua simuamini sababu namtayarisha vya...
Heshima kwenu wadau,naomben msaada laptop yangu nimewapa vijana wafanyie mazoez kwa ajili ya kujifunza,kilichotokea nilitaka kuitumia nilivoiwasha ikawaka lakin ikadsplay rangi ya zambarau inaonesha na mistari kwene kioo!.nikiuliza wananambia waliiwasha ikawaka ivyo,sijajua kama tatizo ni kioo...
mimi ni mtumiaj mpya wa JF nmekua nikiisikia toka mwaka jana lakin siku zinavozidi kwenda ndo nazid kuhamasika kutokana na sifa zake kutoka kwa wadau,ndo sababu name nimeamua kujiunga ingawa sijui pa kuanzia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.