Najaribu kulogin inanikatalia hawa jamaa wanapita madukan wanasema service levy ni kila baada ya miezi 3, yan jinsi unavotoa risiti wanapiga hayo mauzo yako ya miezi 3 mara 0.03 inakuja pesa ndogo sana ila hawa jamaa hawaelewi wanapiga mara 3 yan miezi mi3, kwa hyo kwa sisi wafanya biashara...
Leo nipo Kilimanjaro najaribu kupiga namba ya makao makuu bila mafanikio na hyo number ya simu waligawa wenyewe, sijui wamezidiwa au shida ni nn.! Ivi kama nna emergency ipi sehem sahihi ya kuwapata?
@Chief-Mkwawa Toka nimeingiza update kwenye simu yangu haitaki kuupdate apps nikiupdate inaishia kuzunguka tuu, baada ya kuiupdate pia imepanda kwenye 5G
Ni Samsung A73 mkuu nimekua najaribu mara kwa mara na kurestart sim ila nikijaribu tuu kuupdate inakua pending muda wote, naomba kama naeza...
Samahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie...
Kuna kipindi walikata elfu sita kwa pamoja na malalamiko haya niliyasikia pia kwa watu wengine.
Hamuwezi kunipatia code niwe naangalia jinsi nilivokatwa kwa sbb Kodi ni elfu 10 kwa mwaka Sasa kwa namna hii Mwaka itakua hata 50k, kuna mtu wa tanesco niliwah kumuuliza akaniambia Kodi ni ishu ya TRA
TANESCO Nina tatizo la makato ya Debt collected (Kodi ya pango) kwenye mita yangu ninavyojua malipo ni elfu 10 kwa mwaka Sasa nikipiga mahesabu nimeshalipia zaid ya hyo na bado wanaendelea kukata.
Lingine kwenye sehem ninayofanyia biashara wanafanya hivyo hivyo na hyo nyumba moja tunatumia mita...
Nimekua nasumbuliwa na tatizo la mkojo, yaani unabana sana nisipowahi kukojoa unaanza kutoka vitone tone hasa unapokaribia choo ndo balaa, Kama asubuhi nakua sijala wala kunywa chochote lakini naweza kwenda hata zaidi ya mara 2 kwa lisaa choon. Hili tatizo linaninyima hata raha ya kunywa maji...
Tunaomba kukiwa na tatizo la Umeme muwe mnatupa taarifa, huku Moshi wakikata asubuh Ni hadi usiku bila taarifa zozote kwa sisi watumiaji,kubwa zaidi nna vitu vya kuharivika na sijui fidia ntaipata wapi
Habari zenu Wana jukwaa naomba kupata ufafanuzi Kama kuna watu wa Tra humu ndan. Kuna taarifa zinazosambazwa na maafisa wa TRA kuwa inatakiwa kufika kwa watu waliokuuzia mashine ili wakaiprogram mashine ili iwe inatoa risiti iliyo na barcode.
Kwa hyo wamesema tupeleke mashine pamoja na Tsh...
Kinachosumbua katika haya mashamba ni moto na wakulima wengi wa kusini hupendelea kilimo cha moto kwa hyo kipindi cha mwez wa 7,8,9 inakuaga ni miez ya moto mimi sina ham kabisa nz hii kitu tena hadi nimeanza kuhisi ni ushirikina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.