mme wangu, Tanzania yetu ndo hii nimependa huu mjadala nahakika utapata mkuu, omba Mungu maana ndo muweza wa yote kiongozi. Janjawidi...huwa ana mambo aisee, napenda vitu vyake vina uzito aisee.
Janjawidi...umenifanya nichezeshe akili yangu zaidi na zaidi...kuna ukweli happ aisee.
Ila hii ndo Tanzania kijana wangu funika tulilinde,tulijenge na tulitetee Taifa letu.
Tanzania nakupenda.
Wahusika au mwana JF yeyote mwenye taarifa na kazi za mahakama walizotoa tarehe mwezi wa tatu mwaka huu.
1. Je lini watatoa majina ya waliochaguliwa kwenye interview kwa nafasi zote walizozitangaza?
2. Na interview yenyewe itakuwa lini?
Ni hayo tu waungwana mwenye kujua tafadhari atuhabalishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.