Ushauri wangu:
Turejee kwenye maadili mema kama watanzania, Tuwe wazalendo na nchi yetu na jamii ya mtanzania, tuepuke tamaa za utajiri wa haraka usiokuwa na misingi bora, tuepukane na ubinafsi wakutojali maslahi ya jamii including kuukemea ubinafsi hatari kabisa dhidi ya afya ya kizazi cha...
Hamis oyeeeeeee!!!! Hamis Juuu....
wenye udini na maono ya kibaguzi ya kidini zzzziiiiiiiiii!!! shiindwa kabisa!!! mstake kututia nyongo wabongo wa watu tusio na hili wala lile when it comes to ishu za dini.... kwa mbongo wa kawaida kama mimi na ambao ndio the majority dini kwetu ni kitu...
Ushauri wangu:
Mpende akupendae, asiyekupenda achana nae!! au umesahau hako kausemi ka tangu kale??
well kikubwa unachotakiwa kufahamu pia ni nafasi ya unique character aliyonayo mwanaume katika kuliteka penzi la mwanamke.. kwa kulitambua hilo lazima ufahamu kwamba wanawake ni viumbe wanaovutiwa...
mh!! ebwana eeh, angalia usijekuta unananihilii na mwenzio mwenye mdude kama wa kwako bila kujua (as a result of birth defect maybe or transgender....) au wasiwasi wangu mwingine usijekuta anahofia huko maeneo kwake kuna kasoro flani, pengine harufu kali inayokera, ama kuchafu na hajui namna ya...
Hoja Yangu!!
hivi kweli imefika mahali tunauza utu wetu kwa pesa?? kuna tofauti gani kati ya mashindano haya ya laana na kucheza picha za ngono?? namtofautishaje Cherokee D'ass, Flower Tuci, Lexington Steel, na Mandingo wacheza picha za ngono waliobobea kwa kujiweka wazi mbele ya ulimwengu na...
Woow!! this topic is good jamani, nimeipenda sana kwakua imenipa nafasi ya kujifunza na kuelewa mambo meengi ambayo kwa kweli sikuwahi kudhani kama kuna darasa la namna hii lingewahi tokea... lol..
Well mi pamoja na kutokua mjuvi saana wa mambo ila pia nadhani Mwanamke kutongozwa hutokana...
wandugu habari ya kwenu kwa pamoja:
leo katika pita pita yangu mtandaoni, nimejaribu kupitia tovuti ya EAC (East African Community: Web Portal na
LatinHackTeam Ownz Your Box
..We Are..
infEkt - Adminp4nic - eCORE
Againts governments corruptions !!
your security.. get down ...
Wadau naombeni msaada, eti leo server za yahoo kuanzia mda huo mbona hazirespond? kuna tetesi eti nimeskia kuna technical problem? Wadau naombeni kuuliza eti ni kweli? maana napata kigugumizi kuamini kama nao Yahoo wanaweza kuwa na technical fault....
Mtazamo wangu Serikali ya Tanzania sasa imefika wakati wa kuacha kufanya Masikhara na mfumo wa elimu hususan kwa vijana ambao ndio nguvukazi na tegemeo kubwa kwa maendeleo ya Taifa. Ni ukweli usiopingika vijana wamepoteza dira ya kielimu, morali wa kujifunza umepungua sana among vijana, wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.