MH.Mtatiro pongezi zako kwa jicho lako la haki achana na hawa wasiojua maana ya democrasia. Wakati wazanzibari wanapigia kura zaidi ya 64% kwani aliye piga kura zile alikuwa LIPUMBA & KIKWETE? Labda wageni wa siasa za afrik au wanawaonea wivu. MIFANO kenya na zimbabwe mbona wameunda umoja kati...
Mlio wengi tanzania mnaangalia haki in tems of dini iwapo hao maaskofu na serikali hawazungumzi UBAYAUBAYA, JANJAWIRI, MBWAMKALI na vikundi vya uharifu kibao ambavyo vinaendesha uarifu, kama nyie waadilifu fanyeni utafiti wa kina, mbona mnafumbia macho matendo maovu yote yanayofanywa na serikali...
hii kadhia ya vurugu kwenye uchaguzi itakwisha lini jamani, hivi hawa watanzania wanao pewa shilingi mbilitatu na kuwa piga wenzi wao wanatoka wapi mbona watu wa hajabu hawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.