We are at risk in terms of education and crime rate. Look at all crimes that have occured in Tanzani in large banks. In adiidtion, Tanzaniana are not used to quarals and other inhuman issues undertaken in Uganda Kenya and even in Rwanda and Burundi. Hiyo imekulwa kwetu.
Swala la vyeti feki ni kosa la jinai, kama wamjua alipata usajili kwa mtindo huo ni vema kumripoti panapohusika badala ya kuharibia wale wanaliosoma na wanaoendelea kusoma katika vyuo hivi. Hapa ni case by case, samaki mmoja akioza haiwezi kufanya kazi katika mazingira kama haya. Wote...
Pole sana. Ni kweli watu siku hizi hawataki mizigo ya dependants. Ingawa inauma sana kushindwa kusaidia wadogo zako. Can you two people politely discuss the issue together. Kwa sababu gharama ya kuwa na ndugu wajinga ni kubwa sana huko baadae kuliko msaada mdogo ambao ungewapatia sasa hivi...
Si kla king'aacho ni dhahabu. Kwa hiyo Kufeli sio alama ya kuwa chuo kizuri. Hebu nenda ulaya mzungu huona fahari denti akifaulu wakati bongo denti akifaulu sana ati jamaa linachukia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.