Kosa kubwa walilofanya CCM mpya ni kuwaondoa strategist's wake wote kwa kuamini ni tishio kwa mkuu wa chama, badala yake kuamini walamba miguu ambao wengi ni mapoyoyo.
Sasa wanakosa watu makini wa kutumia akili badala yake wana watumia mabavu bila kufikili athari.
Mshana nilishawahi kuota nimepewa kisu nimchome bi mkubwa nikatupa nikakimbia hii inakaaje.
Alafu mara nyingi huwa naota nagegeda japo simalizi nashtuka, hii nayo inahusu masuala ya kiroho au ni kawaida tu??
Na mtu akiota ota sana kuona nyoka ndotoni inakuwaje.
Tuanzie kwa viongozi wetu wa nchi wanaohubiri uzalendo, amani na mshikamano huku wao wakiwa wabinafsi, wezi na wasio na utu.
Mmoja aliwahi kusema hakuleta tetemeko kisa tu hataka kusaidia ila upande wa 2 akatoa msaada. Unaweza kuona hii roho ya ubinafsi inaanzia wapi.
Laiti kama hawa...
Mkuu nimeona kwa mara ya kwanza activation link unaisubiri zaidi ya masaa 24 bila kurudi na ukijaribu ku log inn inakwambia huja validate taarifa zako toka kwenye email.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap mkuu, maana nashangaa nimezoea zile activation link huja automatic ndani ya muda mchache tu, sasa nashangaa hii siku 2 nzima unasubiri, sijui tunakuwa na wataalamu wa aina gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.