Search results

  1. K

    China yakana kuuza nyama ya binadamu Afrika

    Kwa taarifa yako, maeneo ya Buguruni hapo Dar, walikuwa wanatengeneza pombe kali karibia zote huku wakiweka seal na label zote muhimu ukiona utadhani zimetoka kiwandani. Sasa unashangaa nini Mkuu. Hakuna kisichowezekana siku hizi, labda kurudisha tu uhai wa marehemu!
  2. K

    Mbowe Hakwepeki, kila kiongozi anatamani kupata picha yake ya kumbukumbu

    Akikujibu nishtue tafadhali! Atueleze na pesa za plea bargain zilipo bila kusahau account ya China ilikusudia kuweka pesa zipi na ilifunguliwa na wanyonge wepi! Aidha akueleze kwanini uendeshaji wa ATCL ulihamishiwa Ofisi ya Rais, na kwamba kwa kufanya hivyo, sis wanyonge tulipata nini. Akitoa...
  3. K

    Mbowe Hakwepeki, kila kiongozi anatamani kupata picha yake ya kumbukumbu

    Kwa hiyo huyo mtu katili aliyeletwa na CCM, kwa ufahamu wako, amewaumiza tu CHADEMA? Mengi ya matatizo tunayoyapitia sasa kama nchi, yamesababishwa na huyo katili wenu na mby zaidi, magumu hayo hayaangalii itikadi za vyama, yanapiga kote kote. Leteni tena katili mwingine ili siku watu wakitaka...
  4. K

    TAWA: Ongezeko la Tembo ni hatari kwa maisha na mali za watu, Mamlaka iruhusu Uvunaji wa Pembe kwa faida ya Nchi

    Angetuambia miaka kama 20 hivi iliyopita, walikuwepo tembo wangapi na walikuwa wanatumia eneo kubwa kiasi gani kwa malisho. Kisha atuambie sasa kuna tembo wangapi huku eneo lao la malisho likiwa limepungua kutoka sq kilometers kadhaa kwenda sq kilometers hizi. Kinyume na hapo ni porojo tu za...
  5. K

    Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

    Alikuwepo mwaka wa fedha wa 2020 - 2021, mwaka wa bajeti inayozungumziwa sasa, japo Mama nae alikuwepo. Taarifa ya kwanza ya ukaguzi ya Mama, itakuwa mwaka wa fedha 2021 - 2022.
  6. K

    Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

    Mdau, kama hujui Mzee Magufuli alifariki lini, bora ukae kmy. Tulivyoadhimisha mwaka mmoja wa kifo chake majuzi tulikosea kumbe ilikuwa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo chake?
  7. K

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

    Mkuu nahisi umekosea. Mbogamboga wao wakionyesha zile kofia zao, wananunua half the price! Au nasema uongo ndugu zangu?
  8. K

    Alivyopigwa Mwalimu Nyerere na Mhaya ndivyo tutakavyopigwa Watanzania na hizi picha za Rais Samia na Wazungu

    Ni nyie sasa, wengine tullikuwepo tangu enzi za ALBION, LEYLAND, MORRIS nk!
  9. K

    Alivyopigwa Mwalimu Nyerere na Mhaya ndivyo tutakavyopigwa Watanzania na hizi picha za Rais Samia na Wazungu

    Swali hapa ni je, miaka hiyo ya hii hadithi, FUSO zilikuwepo?
  10. K

    Alivyopigwa Mwalimu Nyerere na Mhaya ndivyo tutakavyopigwa Watanzania na hizi picha za Rais Samia na Wazungu

    Nimeuelewa huu utani ila nilifika sehemu nikakuta gari lilotumika kuchukuwa zile Materials ni FUSSO, nikabakia kinywa wazi. Je ni FUSSO hizi hizi za miaka hii au? Ungeniambia zilitumika FORD, ISUZU, BEDFORD Na mengine kama hayo, ningeelewa! Nyerere nae aliwezaje kumpigia simu huyu jamaa au...
  11. K

    Alivyopigwa Mwalimu Nyerere na Mhaya ndivyo tutakavyopigwa Watanzania na hizi picha za Rais Samia na Wazungu

    Nimeuelewa huu utani ila nilifika sehemu nikakuta gari lilotumika kuchukuwa zile Materials ni FUSSO, nikabakia kinywa wazi. Je ni FUSSO hizi hizi za miaka hii au? Ungeniambia zilitumika FORD, ISUZU, BEDFORD Na mengine kama hayo, ningeelewa! Nyerere nae aliwezaje kumpigia simu huyu jamaa au...
  12. K

    Haikubaliki, Diaspora wanatumika kisiasa na wanaharakati

    Tuanzie hapa, je wamefanikiwa kuchafua taswira ya nchi yetu au la! Kama wameshafanikiwa nini kifanyike kurudisha taswira ya nchi yetu iliyopotea kutokana na harakati za hawa WAHUNI? Lkn, hivi kwenye mabango yale umeona la Katiba mpya tu au na mengine yapo? Kama yapo, yana ukweli au uongo kiasi...
  13. K

    Serikali awamu ya sita inalipa mishahara mapema kabisa tarehe 22, imevunja rekodi ya Hayati Magufuli wa akilipa tarehe 25 mpaka 27. Hongera Rais Samia

    Uko sahihi kabisa. Binafsi huwa siwaelewi wanaona mshahara kulipwa mapema ni jambo la kusifia. Matatizo yanabakia pale pale, sababu mshahara hautoshi matumizi ya siku 30/31. Cha kupigania hapo, ni kuomba mishahara iongezwe ili angalau itosheleze matumizi ya siku 30. La sivyo, watarudi nyuma...
  14. K

    Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

    Mara nyingi hupata details za wateja wao hilo kwenye Facebook
  15. K

    Rais Samia amegeuza upepo wa MSD kwa kumteua Mavere Tukai

    Na uingizaji wa siasa kila mahali. Walioko kwenye vyama vya siasa, Wakuu wa Wilaya, ma RC, Mawaziri wote kwa uchache na kwa nyakati tofauti utasikia wakiwakoromea Wataalam katika fani zao as if walikuwa nao Chuoni. Nani hakumsikia Mwendazake akimwita baba wa watu Kilaza? Nani hakumwona...
  16. K

    Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

    Kwa muktadha huo, ina maana ng'ombe wote wa Mkoa wa Mara wamefunzwa kuwa sehemu pekee ya kujisaidia ni mtoni tu. Hivyo wakiwa machungani huko huwa wanatunza vinyesi mikojo yao hadi wafike mtoni! What a joke!
  17. K

    Jinsi nilivyoibiwa gari kizembe bar

    Umekosea kidogo, ungeanza na neno "Hadithi hadithi" ili tuweze kufikia "Hadithi njoo utamu ukolee" [emoji16][emoji16][emoji16]
  18. K

    Shahidi wa michongo Afande Jumanne kuja na jipya lipi leo?

    Na kwamba, kufikia mwisho wa kesi, Wasiojulikana watakuwa wamejulikana!
Back
Top Bottom