Pia una uwezo wa ku set simu ijizime muda gani na ijiwashe muda gani. Kwa mfano simu yangu ikifika sa 6:15 usiku inajizima na kujiwasha saa 11:30 alfajiri. Ikijiwasha inapiga alarm kwa ajili ya mimi kujiandaa kwenda job.
Sehemu nyingine niliyopenda kwa xiaomi ni upande wa sms, huwa naandila sms...
mkuu naomba bei ya hii
5310 Original Unlocked Nokia 5310 XpressMusic Bluetooth Java MP3 Player Support Russian Keyboard Refurbished Phone Free Shipping-in Mobile Phones from Cellphones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group
Na hii hapa
6303c Unlocked Original Nokia 6303 Mobile...
Naomba kujua bei ya hii product New 2018 Autumn Winter Boots for Men Chelsea Boots Cow Suede Leather Winter Shoes Fashion Men's Boots Brand Shoes
New 2018 Autumn Winter Boots for Men Chelsea Boots Cow Suede Leather Winter Shoes Fashion Men's Boots Brand Shoes-in Chelsea Boots from Shoes on...
Habari mkuu?
Nina Xiaomi redmi 2. Inanisumbua kitu kimoja tu. Kuna wakati hii simu inajizima yenyewe. Na ikijizima unatoa betri na kuweka tena ndipo ijiwashe yenyewe au uiwashe. Na katika ukaaji wa chaji haina shida. Inajitahidi tu. Ila shida ipo kwenye huo ugonjwa wa kujizima yenyewe...
Naweza kupata gharama ya hizi bidhaa mpaka kufika bongo? Nahitaji kuchagua mojawapo
New Unlocked Sony Xperia Z C6603 / L36h 5.0" 16GB NFC LTE Wifi Smartphone Black 7311271407720 | eBay
Xiaomi Redmi Note4 64GB 5.5" Dual-SIM Unlocked Gold 4GB Rom Smartphone | eBay
Original Unlocked Nokia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.