Chezea Mshahara wake wa milioni 7 kwa mwezi, V8 VX aliyonunua katakana na makato ya Walimu kila Mwezi, anajilipa Honoraria hata milioni 10 akitakq, bado za safari za nje ya nchi kwa gharama za michango ya Walimu.
JE WEWE UNAWEZA KUACHA HAYO MAOKOTO WAKATI WALIMU WAMERITHIKA ATUMIE FEDHA ZAO...
Huyu RC shida sana ameshapoteza mwelekeo mapemaaaaaa. Yaani kabla Jogoo jajawika ameshajikana
Nimesoma na kupokea maoni,ushauri na kila aina ya hisia ambazo naamini ni kwa upendo juu ya Clip yangu kuhusu kambi za Kitaaluma nilipokuwa nikizungumza na wananchi wetu katika tafsiri yoyote ile...
Sasa mbona Kaufyata ???
Nimesoma na kupokea maoni,ushauri na kila aina ya hisia ambazo naamini ni kwa upendo juu ya Clip yangu kuhusu kambi za Kitaaluma nilipokuwa nikizungumza na wananchi wetu katika tafsiri yoyote ile naomba Radhi kwa wote waliokwazika ,wananchi na Viongozi wenzangu hasa pale...
Mkuu huyu asikusumbue. Inawezekana yeye anajua akimwaga upupu wake hapa Jamvini ndiyo atapata maslahi yake. Acha aanzishe thread kutwa mara tatu awe anarusha lawama kwa watu wasiohusika inawezekana akipiga dozi hiyo kwa siku saba ataona ... mara pwaaaa, maslahi yake yamepanda
Ama kweli Jukwaa limevamiwa. Yaani huyu hajui kama kuna Wizara inashughulika na kazi na masuala ya watumishi? Kazi ya Vyama vya wafanyakazi ni nini?
Mhe Rais wakati wa Mei Mosi aliwataka wafanyakazi kwenye sekta binafsi kutoa taarifa kwa mamlaka husika kama wana changamoto zozote ili hatua...
Mkuu Umenena, hakika Elimu yetu ilikuwa iko ICU na kulikuwa na ufisadi wa kutisha. Hakika tumuombee Waziri wetu wa Elimu andelee kuisafisha Wizara na kuboresha Elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.