Salam ndugu wana JF,
Naomba kuuliza, hivi application za vyuo kwa ngazi ya diploma na cheti tayari zimeanza au tayari muda wake umeshapita? Kwa mwaka 20/21
Ninamdogo wangu nahitaji nimfanyie usajili kwa wenye uzoefu au taarifa zinazo husu naomba msaada.
Asanteni!
Salam.
Wakuu, mimi ni mtumishi wa uma nipo mkoa wa mby kwa sasa, nimepata ofa ya kupewa uhamisho kwenda wilaya yeyote ile ninayo ihitaji hapa Tz.
Naomba ushauri je nisehemu ipi nzuri ambayo ninaweza kuishi na kutusua baada ya miaka minne au tano ijayo?
Binafsi napenda kujiwekeza kwenye kilimo...
Salam, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninahitaji mke/mchumba alie siriazi na mahusiano.
Sifa zangu.
Mimi ni mkristo dhehebu la KKKT.
Nina watoto 4 kila mmoja na mama yake.
Nina kazi ya kuajiriwa na serikali.
Nina urefu wa futi sita, ni mweusi na nina mwili kiasi.
Sifa za ninaye...
Salam.
Kwa wale wanao ishi Kyela kwa sasa, naomba kujua mahesabu madogo kuhusu ujenzi wa nyumba wilayani hapo kwa mtu mwenye kiwanja tayari.
1. Nyumba ya vyumba 5 yenye vyoo ndani kwa ndani inatumia tofali ngapi za kuchoma?
2. Tofali moja inauzwa kiasi gani kwa sasa pande hizo? (Tofari za...
Salam ndugu zangu,natumaini Iddi imekwenda salama.
Samahani jamani,ninaomba mwenye link ambayo itaniwezesha kupakua series mbali mbali kwa kutumia simu.
Link hizo ninazo zihitaji zisiwe za torent maana hii site siielewi na imenishinda kabisaaa kuitumia.
Pia nimejaribu kuangalia link zilizopo...
Salamu,
Kuna kujitetea kwingi kwa wanaume wanaochepuka na hasa wanaogegeda ma house grrl wao, eti ooo mwanamke anasababisha, wapi ni mitamaa tu ya wanaume na kutokujiheshimu.
Mwanaume unasingizia eti mkeo ni mvivu na blabla kibao, mbona hata wakijituma bado mnachepuka/mnagegeda mahausigelo...
Salam!
Kichwa cha thread cha husika.
Swali langu ndio hill, he unajisikiaje pale unaposhuhudia post za mkeo/mumeo,/mpenzi wako zikielezea matatizo yako/yenu kwenye social networks hasa hapa JF?
Nawasilisha hoja.
Salam!
Moja kwa moja kwenye mada.
Ubakaji (kutoka mzizi wa Kiarabu) ni tendo la kumlazimisha mtu afanyiwe asichokubali.
Juzi juzi hapa,media zimelalamika kufanyiwa vitu wasivyovikubali,aka ukabaji wa media,kitu ambacho ni kosa la jinai.
Ikiwa madai yao ni sahihi,je kwa nini hawajapeleka...
Dar es Salaam. Tanzania is making efforts to have its national kidnapped by rebels in eastern Democratic Republic of Congo (DRC) to be released.
The Tanzanian is among five miners abducted by rebels, according to the deputy minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Dr Susan...
Greatings my fellow members!
Naomba kuuliza,is it possible for someone to be a vineral diseases carrier?
Is it possible to cure the disease? Which prescription is best for these diseases?
I am in need of your health education in this.
Thank you!
(Vineral diseases=magonjwa ya zinaa yenye...
Salam.
Wandugu, nipo mbeya sina utaalamu na idea kwenye vyombo vya Moto.
Nimepasua KIBUBU changu ambacho nilihifadhia pesa ya kununulia piki piki ya kwenda nayo kwenye mizunguko mbali mbali ya kimaisha.
Nina kama sh. Million 2, je ni piki piki ipi itanifaa?
Naombeni ushauri wenu,natanguliza...
Habari.Non-tongue roller ni mtu asieweza kukunja ulimi wake kutengeneza duara.Katika pita pita zangu, kusikiliza redioni, na kuangalia kwenye tv, nimegundua, kunaidadi kubwa ya watanzania vijana ambao ni non-tongue rollers.Hii ina maana kuwa, wazazi/ watanzania wengi kama sio non-tongue roller...
Habari.
I still wondering around in my lovely country Tanzania.
Natambua uwepo wa wananchi, uwepo wa wapiga kura, uwepo wa wakereketwa wa vyama na wakereketwa wa watu.
Wote hao, wasisahau uwepo wa "KING MAKER" katika dunia hii, mfano, tunatambua how PRESIDENT became our president.
I say no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.