I understand ila mkuu tutafanyaje wakati maisha ndio yanatulazimisha?
Kabla sijaajiriwa niliona wanaokopa ni wazembe, ila Kwa Sasa nimekua mkopaji alieshindikana.
Unakutana na do or die situation unachagua kuishi.
Mungu atutoe kwenye hivi vifungo Kwa kweli.
We teach girls, marriage is most important thing in life, what about boys?
Yaani mvulana asipofundishwa kupika inakubalika, ila Kwa msichana ni nongwa?
Ule Uzi wa yule mzee na huku uzi kuna mfanano flani hivi wa kimaisha ambayo wanaume wanayapitia, sema huyu bado hajazalisha tu.
Nilichopenda kuna jambo la kujifunza katika nyuzi hizi mbili.
Ukweli ni kwamba vyama vya siasa hapa Tanzania vilianzishwa na kuasisiwa na sana CCM kutimiza matakwa ya CCM mambo mengine ni stories tu, Tundu nadhani alileta mtazamo mpya then he got what he got sidhani kama anaujasiri ule tena aliokuwa nao. So unaweza sema risasi alizopigwa Tundu ziliua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.