Repoti za kamati ya Prof Mruma na Prof Osoro, zimekivua nguo Chama Cha Mapinduzi na serikali yake. Repoti zimesheheni uzembe, ifisadi, wizi, nk wa hali isiyo mithilika. Kwa mwanachama wa CCM au kiongozi wa serikali kujaribu kuhamisha mjadala kwa kusema sijui Tundu Lissu kapewa data ni ujinga wa...
Ndugu mkoa wa Mara una shida ya ndani ya mkoa wenyewe hata si serikali, unayotaka kuitupia lawama. Sasa mnatakaje maendeleo wakati mnafukuza wawekezaji? Kwa mfano wilaya ya Rorya na Bunda nimesikia kuna mwekezaji alikuja kuwekeza kwenye sekta ya Maji kwa kufufua miundombinu ya maji ya Shirati na...
Ndugu wanajamvi, baada ya rais Magufuli kutangaza baraza la mawaziri. Kuna members humu walikuja na pendekezo kwa rais amteue Dr. Ndalichako kuwa mbunge na amkabidhi wizara ya Elimu. Nina Imani pamoja na maono yake rais pia alichukua ya hapa JF.
Baada ya kusema hayo naomba jukwaa hili...
yes sijakataa ila kwa nn wasinegotiate tu na vyama kama ratiba zimeingilia? ccm wanatumia siasa za vitisho ili wananchi waone wapinzani wana fujo, wrong approach.
Wakiwa wamejipanga kumsikiliza mgombea wa Chadema Bw. Joshua Nassari wananchi wa Usa River eneo la Leganga wamevamiwa na Polisi Na kupigwa na mabomu yasiyo hesabika. madai ni kwamba Leo ilikuwa zamu ya CCM. sina uhakika sana na Madai ya Chama tawala.
Update:
Leo CCM walikuwa wana mkutano wao...
Kikao cha Kamati Kuu ya CCM imeshindwa kutengua kitendawili cha mtu mwenye sifa ya kusimama na Tundu Lissu Singida Mashariki. Mpaka sasa mgombea wa CCM hajafahamika.
Kusema Lissu anapita bila kupingwa?
kwanza vita haipiganwi na majemedari wako tu. ukitaka ushinde vita vyema unatumia mbinu nyingi ikiwepo pia kutumia mamluki (mercenaries), hata mapinduzi ya Zanzibar akina Okello walitumika. so think louder MM.
Idadi kubwa ya Watanzania ni wezi na wafisidi nchi, kila mtumishi kwa nafasi yake au mwanafunzi ama mkulima wote wanaiba. watumishi wanafoji risiti wakitumwa kazi, anakaa siku moja anaandika amelala siku 3.
Madereva wanaiba mafuta, vipuri nk, wafagizi na wahudumu wa ofisi wanaiba sabuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.