Picha sina....ila umenikumbusha mbali sana miaka ya 90 mwanzoni kulikuwa na igizo lake RTD kama sijakaosea likuwa linaanza saa tatu..siku sikumbuki..hapo familia nzima haiendi kulala inasubiri kipindi...kikianza ole wako upige kelele.,..
Kuna watu ama kwa kujua ama kuto kujua wanawachukulia poa sana walimu.....nawahakikishia walimu wa sasa si wa enzi zile binafsi nawajua walimu wengi tu ambao wamepambana kiuchumi wako mbali sana
Waambie mkuu binafsi naona tumekuwa washamba kiasi kwamba mtu kumiliki iPhone ama Samsung ndio anaonekana mjanja....binafsi nimekwisha sema siununui simu hizi ambazo kila mtu anatumia...ukiagiza simu nzuri nje unapata kwa bei nzuri halafu unakuta almost unayo peke yako kitaa....
Waambie mkuu binafsi naona tumekuwa washamba kiasi kwamba mtu kumiliki iPhone ama Samsung ndio anaonekana mjanja....binafsi nimekwisha sema siununui simu hizi ambazo kila mtu anatumia...ukiagiza simu nzuri nje unapata kwa bei nzuri halafu unakuta almost unayo peke yako kitaa....
Ukweli ni kwamba pia watanzania wengi wanajua brands chache za simu hasa Samsung na iPhone tena nyingi tunanua copy... Kuna simu nzuri zaidi ya hizo tena bei za kawaida
Du miaka mitano tangu umalize kidato cha sita ndo unakuja kunifundisha juu ya course za CBG?? Anaway yakupasa kusoma na kuelewa mambo nimesema kuna mdau wa elimu alisema hukuwa na sababu ya kuni attack by the way aliyeniambia anahusika na mambo ya usimamizi wa elimu so sina shaka na alichosema...
Mwl. Naomba niangalizie hii bei yake Hadi bongo..https://www.flipkart.com/redmi-7a-matte-gold-32-gb/p/itmfhz4cfwesj6qh?pid=MOBFHZ4BYCMVJHVU&cmpid=product.share.pp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.