kundi la wafunzi takribani 900 waliofukuzwa bagamoyo kurejeshwa januari.
habari zinasema pamoja na kurejea kwao, kamishna wa elimu nchini alivunja mwiko, kupingana na
DC na RC na kujiunga na bonas ndimbo kumdanganya waziri wa elimu Dr J. Kawambwa.Wanafnz hao wa kidato cha 5 na 6
watarejea...
Chanzo cha habari hii ni redio mlimani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa shule bagamoyo alimdangaya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa pwani.
Tatizo ni mgogoro wa kiimani baina ya wanafunzi wakiislam na mkuu wa shule bagamoyo
leo mapema jioni, kamishna wa elimu, Wizara ya elimu, na tena waziri...
Katika kile na kutoamini ulilolitoa kwenye vyombo vya habari, umeshindwa kutumia busara
Mgogoro katika sekondari ya Bagamoyo si kama ulivyoambiwa na kuchukua hatua kutangaza nilichosikia
kupitia vyombo vya habari- muda mfupi kupitia kituo cha redio mlimani, kwamba uchunguzi uliomalizika...
Kukabidhi Wizarani lilitokea bagamoyo ni makosa kwa kuwa wizara hawajui shida ya shule ya bagamoyo na mchawi ni nani, zaidi ni uonevu kwa walimu, na kama watawachukulia hatua ni makosa RC pwani
na mwantumu mahiza asubiri kilichompata aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni na bagamoyo, alivyotesa watu, mwantumu mahiza anaendea huko, hajifunzi, ameshaonyesha dalili kuwanyanyasa walimu wa bagamoyo, ole wake
Hekima ingehitajika sana kutatua mgogoro baina ya walimu na mkuu wa shule-kutojali maisha binafsi,familia za walimu
mgogoro baina ya wanafunzi wote na mkuu wa shule-mkuu washule kuwakumbatia wanafunzi, ambao baadae hugeukana
mgogoro kati ya mkuu na bodi ya shule-utendaji...
wazir wa elimu na watu wake wajue sasa kuwa, viongozi na bodo bodi zao ndio shida, mkuu wa shule aliwanyima uhuru
wanafunzi, kuwapa majina ya ki terrorist, na kutokubali kushughulikia udini nani kauleta hapo shule. RC nae kigeugeu, anajua tatizo ni umbea aliokuwa anapewa na uongozi,
Awali mwalimu wa BAGAMOYO SEKONDARI alibakwa na wanafunzi wake, mkawasingizia walimu.
Baadae wanafunzi wanagombana na mkuu wa shule tena mnasingizia waalimu,
1. Ipo laana inawatafuna wakuu na viongozi wa wizara yenu
2. mtawasema na kuwasingizia waalimu na mbivu,mbichi mtazipata
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.