Mbona hii ina afadhali sana , ya wizara ya katiba waliwawekea na picha chafu kabisa na link, inavyosemekana ni jamaa kutoka kenya wanataka izo kazi system admin na the lyks kwaiyo wanawachafua wenzao
Nimekutana na tangazo kuwa kwa mara ya kwanza kozi ya hii itatolewa bongo kwaniza june ,nimegoogle naona iko poa ila naomba mdau aliyepitia anipe idea ikoje?
Ichi kipindi bwana dàah kimekua cha watu kujichukulia maujiko . .semunyu haulizi maswali magumu kabisaa. . .uyu kijana vipi me cridhiki kabisaaa. .Aangalie HardTalk ya bbc (af anunue koti jingine bas na icho kiatu dah)
"Alikua amezima mashine. . .mwenzake akaja kuiwasha kabla hajatoka" . jamani hili ni kosa la kibinadam na c safety measures za kampuni. .ni ajali kazini c uzembe wa kampuni.
ivi wapi zuku tv wapi easy tv mbona mpo kama ampo vile. . yani soko lote hilo wameshindwa kujichotea wateja wanawaachia star tym wazidi kuwavuruga wa tz
fastjet wamefanya deal inayoitwa reverse takeover yan kampuni inanunuliwa na kila kilicho chake (wafanyakaz,assets management nk) na si kubadilisha jina tu,
source:african business magazine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.