Search results

  1. N

    Wanawake huwa wanapenda/kuhitaji nini?

    Umenichekesha ndugu hujui ukinyamaza ataanza soo jingine kua unamdharau
  2. N

    Msaada wa kitaalamu

    kwi kwikwi teh the teh ama kweli wanawake tunavituko
  3. N

    Fimbo ya mbali...

    yawezekana lakini hii ni kali duh!
  4. N

    Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

    Mie binafsi sipendi kuona mama ananyonyesha hadharani. Kama kuna uwezekano ni bora mama anyonyeshe pahali faragha kidogo(ajisitiri) ila kama ndio hakuna budi halaumiki. ni hayo tu.
  5. N

    How Professional men propose

    haaa heee teh teh ..hii kali kabisa
  6. N

    Msaada wa kitaalamu

    Kweli kabisa badala ya kuwaste time ktk kuchezea vitufe vya simu ni bora wapeane kavu kavu(face 2 face)
  7. N

    Penzi-kipato= mgogoro (?)

    kwa kweli ikiwa mke ndo anakipato kikubwa dhidi ya mume..lazima mume atakuwa na ile inferiority complex..muhimu ni wewe mke kutoonyesha kiburi na kufanya wajibu wako as a wife..kiburi na majivuno kando as Kevo said hapo juu
  8. N

    wikiendi ukweni!...

    well said naima:)
  9. N

    wikiendi ukweni!...

    sijambo na ahsante nishakaribia mchongoma mume mwache ende na maji na wazee wake lakini mwanangu no way simwachi:)
  10. N

    Assuming the world without women!

    haiwezekani kabisa
  11. N

    Should you maintain contact or friendship with Ex-partner?

    Big up mchongoma yalopita yaache yajiendee bana...:)
  12. N

    wikiendi ukweni!...

    nitamuokoa mwanangu hapo..ooppps kumbe wameulizwa madume Jamani hamjambo humu nimeingia bila kupiga hodi Heshima yenu ndugu
  13. N

    Wanawake wa PWANI

    muhimu awe mke mwema jamani
  14. N

    Wanaume Wa Pwani

    kibanga hizi habari umezipata wapi?
  15. N

    Mapenzi Yanataabu

    alah!kumbe engineer umo na wewe
Back
Top Bottom