Habari nduguz. mwenye namna ya kuteblngeneza kalimati anielekeze pls. recipe nlopewa mara ya mwisho zilitoka nyembamba na zilinyonya sana mafuta, in short sikuzifurahia. Msaada tafadhali.
Hata mi nimecheka hapo tu..
Guys mywe makini, mafamba mengi sana sikuiz. A true employer will never ask you a penny kwa kuwa anajua uko jobless na moneyless ndo mana unaapply kazi.
Halafu sikuiz wamejaa sana Zoom hawa watu na kwenye other job search engines.
Zikaushe juani kwanza kisha ukaange kwenye frying pan au sufuria kavu..add salt basi . sasa inategemea matumizi yako ni kwa ajili ya nini ila kama ni kwa ajili ya kuboost maziwa mlaji anaweza zimenya akala ile nut ya ndani au ukazisaga kwa blender ya vitu vikavu bila kuzimenya na ukamix kwa uji...
Jamaa katoa maoni yake baada ya kufanya research yake binafsi..Kama una lako Jambo mkuu weka bayana then thinkers watachambua...ndo Yale Yale tunasema kabla hujAjibu swali kwa swali weka points Zako kwanza. Ni mtazamo tutu
Kitambi si mlo mmoja tu kuukata kama walivyoshauri wengine hapo juu wadau..acha au punguza soda, Kwa wanywaji wa vilevi wapunguze au waflash out pombe Kwa Maji mengi..pendelea kula matunda n mboga ama salads nyingi kwenye milo yako kuliko nafaka..prefer visivyokobolewa zaidi,avoid chips...
Do ur research,read the holy books and other written articles..it was a secret b4,bt nw Devil reveals hmself openly,it was written,nt sure abt Quran bt my Bible tels ol u wana knw..:):)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.