Kwanza umekosea....kijana wa mabeyo alifariki wakati jiwe akiwa Bado hai kabisa ..Na jiwe alienda kumtembelea nyumbani nampicha zipo so acha kudanganya angalia facts
Wewe usiwe kilaza CDF hatoi taarifa kwa makau Bali kwa Rais hivyo inabidi umuuite katibu mkuu kiongozi au waziri mkuu ndo wamuambie bosi wao,,sasa hasta hili hujui..Kilaza kweli
Hivi mtu anaumwa na hali imebadilika na alikuwa anaelekea kufariki harafu unalaumu aliyokuwa anaelekeza,,kweli hunaakili au hujawahi kuuguza mtua anayekaribai kufariki
Si ndiyo alitanganza ,, shida kwako nini..Mtu WA kwanza kutaarifiwa alikuwa make wa Rais wewe unalazimisha kwanini Samia hakutaarifiwa kwanza..Unajua protocal za kumtaarifu makamu wa Raid zinapelekwa na nani kwakwe.?
Ulitaka CDF akatae kulitumia jeshi kununua korosho,,mabayo ingetafasiriwa ni Uasi..watu mkila ugali mmekaa nyumbani mnadhani mambo ni rahisrahis utakataa
Yeye alijua katiba inasema makamu anakuwa Rais so huwezi kumtaarifu haraka sbb kiusalamanhuwezi kujua kama issue ya kumuondoa jiwe ilikuwa imeandaliwa na kuratibiwa na makamu kwa manufaa yake hivyo unamuweka pembeni ili kupata taarifa za usalama zaidi za nchi la sivyo mkienda kifala nchi...
Wao serikali wameshindwa kuwahamasisha wananchi kuzalisha na kutia michnago ya chakula cha watoto wao lakini tuko tayari kucritise chakula kilichotolewa..Jinga sana viongozi wetu
Kwanini unanganaia fedha wakati na eye anawakulima hawana pakuuza chakula.Kama wewe hupeotect wakulima basi acha wenye fedha zao waprotect wakulima wao kupitia misaaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.