Hiyo 50 ni hela nyingi sana na itakuwa maabara ya kisasa mno. Microscope nzuri utapata hata kwa 3.5mil na vifaa vingine kama vipimo vya sukari ni bei za kawaida sana kati ya laki mbili nk.. sphyllis, vdrl, vidonda vya tumbo na magonjwa mengine kuna vipimo vya rapid ambavyo bei zake ni za kawaida...
Kwa hiyo hata sadaka hampeleki? Maana kama unalalamikia buku ya mafuta ina maana sadaka huwa hampeleki sasa...na kwani unaenda kusali mara moja tu na haurudi tena? Kama ukikuta jumapili hii wanauza si unaacha kuchukua unachukua jumapili ijayo kwakuwa unakuwa umeshajua wanauza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.