Nchi nyingi duniani mizigo inabebwa kwa rail na siyo barabara. Ni Tanzania tu ndiyo tupo tofauti na ni wa kwanza kulalama barabara mbovu kila wakati. Hayo madaraja yanabeba maroli kwa viwango vya kawaida. Shida bongo ni upakiaji wa mizigo kupita kiwango na hata control siyo makini. Hivyo...
Tofauti ya sheria mpya na ya zamani ni kwamba.
Zamani 50% inatolewa lumpsum na 50% inagawanywa kama malipo ya mwezi
Mpya: 25% inatolewa kama lumpsum na 75% inatolewa kama malipo ya mwezi.
Sasa kwa mahesabu ya huyo mama, inaonekana hiyo 98 m ni malipo yote anayopaswa kulipwa.
Kwa kikokotoo cha...
Mkuu hebu rudia kusoma reference zako, kazi ya cooling ni ya maji au coolant. Jaribu kukagua engine uone pipes za maji kutoka kwenye rejeta zinaingia wapi. Check water pump thermostat nk. Kwa kifupi kwenye engine kuna njia za maji kama wengine walivyoeleza. Cylinder head gasket ina njia za maji...
soma hii hapa kakujibu vizuri
Iliomleta boss wa Barrick ni Gulf Stream maalum kwa kusafiri umbali mrefu bila kusimama. Hii Bombardier ni maalum kwa safari fupi fupi, kwa maana hio safari hii itakuwa imeweka vituo nchi kadhaa kabla ya kuendelea.
Kingine imeletwa na marubani wawili. Rubani ana...
Nyota zinatembea kama jua na mwenzi. Ila nyota inaaminika zipo mbali zaidi ndiyo maana unaona kama hazitembei. Watu wanaoishi jangwani wanatumia sana sayansi ya nyota. Ukitaka kuhakiki jifunze majina ya nyota then fuatilia mida ya usiku, ndani ya masaa tano hivi utajua
Hapo kuhusu Gwajima ni uwongo mkubwa. Pengo hajawahi mshitaki Gwajima.
Pia kumbuka maelezo ya Pengo yalikuwa kwamba anafafanua kuwa kauli ya Niwemugizi siyo ya kanisa kwani tayari ulikuwa na hiyo argument iliyohitaji ufafanuzi
Hivi kuna mtu aneshapitia profile ya huyo Yose? Wajumbe wa bodi huteuliwa na waziri kwa vigezo. Wengi wao huwa wanawakilisha organization ua professional bodies. Hivyo ni Mwenyekiti tu ambaye anateuliwa na Mh Rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.